Wanaume mliooa na bado mna michepuko nje mmeoa kwa ajili gani?

Wanaume mliooa na bado mna michepuko nje mmeoa kwa ajili gani?

Wanaume wengi wanachepuka kama hulka, hata kama hana sababu. Ila visenti vikiwepo inakua kama kitabia fulani ambacho most of men (wenye afya) hufanga.


Ila ukija uliza wanaume kwenye ndoa sababu za kuchepuka zinatokana na wanawake/wake zao. Mke ana gubu, anaongea sana, hajishushi, kutwa kushindana na mwanaume, mwanamke sio msafi nk nk.. Pia mwanamke kutokumjali mme kama ambavyo ilivyokua mwanzoni au kabla ya kupata watoto. Wanaume sisi sometimes ni kama watoto, tunahitaji kujaliwa bila kujali umri.

Mara nyingi mwanamme aliyekamilika akikosa hivi vitu nyumbani kwake atavitafuta nje, na michepuko ni hatari sana kuteka akili ya mwanamme maana wanajua akifanyiwa hivyo hachomoi
 
Maswali mengine Sjui Mnayatoa wapi!! Nidhahiri wewe hujaoa nakama Bado Basi Una mchepuko sasa huo Mchepuko wako Ni wa nn??
Nadhani amechukuliwa demu na mwanaume alie oa mkuu
 
Wewe ni mchepuko ? Swali ni jepesi ila unazunguka

Tofauti yangu na wewe ni kwamba, mimi najadili hoja, wewe unanijadili mimi.

Yani badala ya kujadili hoja, unataka kuacha hoja, unataka kunifanya mimi ndiye niwe hoja.

Hatuwezi kuelewana.

Mimi nasema mtu kuwa mchepuko au kutokuwa mchepuko ni suala la faragha kati yake na waume au wake zake. Wengine swali hilo haliwahusu.

Kuuliza habari hizi ni ushamba wa kutaka kuingilia maisha binafsi ya watu wengine.

Na hata wewe kuniuliza mimi swali hilo, unarudia ushamba huo huo.

Umeelewa hiyo point?
 
Sisi wanaume tunaoa kupata femilia na michepuko tunapata fraha siku kwa mke inapokosekana
Saut imetoshelezaaaa?
 
Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?

Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa?

Ndoa ni fashion?
Ukishaoa uje kutupa mrejesho Kwa upande wako mkuu..
 
Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?

Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa?

Ndoa ni fashion?
Ni kwasababu hawajaokoka. Kuokoka manake ni kumkabidhi Yesu maisha yako ili yeye akusamehe na kufuta dhambi zako, na zaidi ya hapo akupatie Nguvu ya kushinda dhambi. bila msaada wa Mungu huwezi kushinda dhambi, dhambi ina nguvu mno hasa hiyo ya zinaa, unahitaji msaada wa Mungu ambao hautaupata bila kumpa maisha yake Yesu. hatari yake ni kwamba kama utaendelea kuishi bila kuokoka hautashinda dhambi na mwisho wa siku dhambi huwa haimuachi mtu salama, ukitaka kuponya maisha yako okoka ili ushinde dhambi na uepuke matokeo ya dhambi. kama umeshapata matokeo ya dhambi tayari bado lipo tumaini la uzima wa roho, mpe Yesu Maisha yako pia.

Kwenu ninyi ambao hamjaokoka, hivyo hivyo ulivyo Mungu atakupokea na atabeba mizigo yako yote, sali sala hii pamoja na mimi:

Eee Mungu wangu, mbele zako mimi ni mwenye dhambi, ninaamini ulimtoa Yesu Kristo alikufa kama kafara kwa ajili ya ukombozi wangu, naomba unisamehe, uniokoe kuanzia leo, mimi niwe mali yako, futa jina langu katika Kitabu cha hukumu, andika jina langu katika Kitabu cha Uzima cha Mwana Kondoo Yesu Kristo, Katika Jina la Yesu! Amen.

Hivihivi kimchaezo mchezo umeshaokoka, acha dhambi, kimbia dhambi na jiunge na wale waliookoka ili mmwabudu Mungu pamoja. Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom