Wanaume mmekuwa chanzo cha Wanawake kupitia mateso kwa makosa yenu mliyoyafanya kwa Ex zenu

Wanaume mmekuwa chanzo cha Wanawake kupitia mateso kwa makosa yenu mliyoyafanya kwa Ex zenu

Kipindi cha ( 🌘 ), huwa kipindi cha utakaso kwa mwanamke. Mwanamke anaweza kukitumia for positive na anaweza kukitumia vibaya. Tuanze na positive ( damu huwa ina beba information ) inaweza kuwa bad or good, maana yake damu inayotoka imebeba information na unaweza feed information ( kuna aina ya information kipindi hicho, kuna information ambazo haupo aware nazo , hizi pia zinatoka na zinaweza kuingia ) kwenye damu unaweza feed information ambazo upo aware nazo.. but kwa damu ya mwezini inapokuwa inatoka ina carry somethings kisicho na uhai tena ( unapoteza uhai ) inakuwa bad.. ( hiyo unaweza tumia mlaani mtu n.k inatumika kama tape recorder) hapa sitozungumzia sana, nitakuwa kama nafundisha uchawi 😜😜.. acha nikampande farasi wangu tukimbie
Fundisha njia ya kujikwamua endapo utahisi au kujua umefanyiwa ivyo nini hasa ufanye hope itasaidia kuokoa wanaume hasa kama ulite mwacha hujui pahali yupo na huwezi kumpata tena.
 
Kama mimi alichonifanyia binti niliyeachana nae yaani nikikutana na mwanamke kimwili nikamaliza fresh, ndani ya dk 2 naanza kuhisi kama damu sijui manii zinavuja huku vikiambatana na maumivu makali sana ya uume hali hiyo inadumu kwa muda wa dk 20 ndiyo inapotea. Yaani kiukweli kuna baadhi ya wanawake wanavisasi vibaya sana siyo wanawake tuu hata wanaume pia
Kapime magonjwa wewe, uache kusingizia watu!
 
Kipindi cha ( 🌘 ), huwa kipindi cha utakaso kwa mwanamke. Mwanamke anaweza kukitumia for positive na anaweza kukitumia vibaya. Tuanze na positive ( damu huwa ina beba information ) inaweza kuwa bad or good, maana yake damu inayotoka imebeba information na unaweza feed information ( kuna aina ya information kipindi hicho, kuna information ambazo haupo aware nazo , hizi pia zinatoka na zinaweza kuingia ) kwenye damu unaweza feed information ambazo upo aware nazo.. but kwa damu ya mwezini inapokuwa inatoka ina carry somethings kisicho na uhai tena ( unapoteza uhai ) inakuwa bad.. ( hiyo unaweza tumia mlaani mtu n.k inatumika kama tape recorder) hapa sitozungumzia sana, nitakuwa kama nafundisha uchawi 😜😜.. acha nikampande farasi wangu tukimbie
Nipe mbinu jinsi ya kutumia aseeee😂😂
 
Nipe mbinu jinsi ya kutumia aseeee😂😂
Nisije kuwa kama malaika muasi kufundisha mambo ya sirini public 🤣🤣 kipindi hicho kwa mwanamke kizuri sana kama atajua kukikutumia hasa kama akiwa na mwenza.. Ile ni limbwata toshaaa
 
Nisije kuwa kama malaika muasi kufundisha mambo ya sirini public 🤣🤣 kipindi hicho kwa mwanamke kizuri sana kama atajua kukikutumia hasa kama akiwa na mwenza.. Ile ni limbwata toshaaa
Kumbe ni mambo ya limbwata tena🙌🏾🙌🏾😂😂no thank you,,kugandwa ovyo sitaki mihe
 
Nipe mbinu jinsi ya kutumia aseeee😂😂
Kwann umdhuru mtu ulishawai kuvaa nafasi ya mama mwenye mtoto wa kiume uje uone mtoto wako wakiume akiteseka baada ya kufanyiwa hili unaloliwazia kupitia njia hii?
 
Kwann umdhuru mtu ulishawai kuvaa nafasi ya mama mwenye mtoto wa kiume uje uone mtoto wako wakiume akiteseka baada ya kufanyiwa hili unaloliwazia kupitia njia hii?
fatilia mlolongo vzur ad mwisho kisha njoo niulze
 
Kadogo2 kwani jinsia Ke haiumizi jinsi Me?
Inaumiza sana sana sana

Sasa hivi kumekuwa na matukio yakishamiri ya wanandoa kufariki baada ya ndoa ama siku chache kabla ya ndoa( mimi pia ni muhanga wa kukutwa na hilo tukio japo ilikuwa ni kabla ya ndoa nikapoteza mchumba kwa ajari.. hili sitaki kulizungumzia)

Kama wewe ni mfuatiliaji wa mitandaoni haswa page za kusherehesha utagundua hili jambo, hiki kitu kimekuwa kikipamba moto mno, wanaume kwa wanawake wanafariki muda mchache baada au kabla ya ndoa…

Ukipitia comments nyingi utakuta ni wanawake ndio wamecomment na nyingi zikiwa kama zinafikisha ujumbe kwa wanaume..

Wanaume acheni kuwaumiza mioyo wanawake ambao hamna malengo ya kuwaoa
Hiko hivi wanawake hatufanani kuna kina sisi ambao ukusema mahusiano yamekwisha unihitaji basi nitakubaliana na hali na kusahau na kusonga mbele kama injili, sasa omba mahusiano yako ukutane na kina sisi

Usije ukakutana na kina wale ambao hawajuagi kusamehe wala kusahau utajutaa kwanini ulizaliwa mwanaume,,, hao wanawake ndio hao sasa wabeba visasi ambao wako tayari kwenda kokote kufanya jambo lolote ili mradi akukomoe

Ndio hapo sasa unaposikia bwana/ bibi harusi kafariki miezi 2 baada ya ndoa ama siku 2 kabla ya harusi.. unasababisha watu wasiokuwa na hatia kudhulumiwa uhai wao

Imefikia hatua mpk unaogopa mwanaume atakaenioa ex wake alisamehe na kusahau au na mimi nitajumuishwa kwenye kisasi

Usiseme nimeachana nae kwa amani, wengine huonyesha hivyo mbele yako ukimpa kisogo ndio anaenda kukusemelea kwa babu yake

Nimeleta hili kwasababu kuna mwanaume mwenzenu huko kashasababisha vifo kwa mke na mtoto wake kisa ex wake

Wanaume mnatuhusisha kwenye matatizo ambayo hatuhusiki.. mimi siwezi kujua kila kitu kuhusu mwanaume anaetaka kunioa ukizingatia tumekutana ukubwani.. matokeo yake wanawake ndio tunateswa na ma ex zenu kwasababu zenu ambazo sisi hazituhusu

Imagine unaolewa na mwanaume kumbe alishaishi kinyumba na mwanamke mwinginee kwa ZAIDI Ya Miaka 10 na watoto wa 3,, hivi unafikiri mwanamke kama huyo, akisema analipa kisasi inakuaje??

Kama huna nia ya kuoa acha kumpotezea binti wa watu muda wake.. wanawake huwa tunatunza visasi moyoni anaweza kusema amekusamehe kumbe anakutafutia timing akumalize

Nawasilisha kama hivyo
 
Unakaa na binti wa watu unamuaminisha utamuoa then after two years unambwaga ni bora ukawa hit and run kuliko kuweka kambi mtu akakuamini
Mara nyingi huwa tuna mpango wa kuoa ila sasa ukishaishi na huyo mwanamke unaanza kujiuliza yaani maisha yangu yote nitamaliza na huyu kweli? Hiyo miaka miwili unakutana na mapichapicha mengi sana
 
Back
Top Bottom