Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
goja mtaalamu aje akupe madini.. kipindi cha damu zile za mzunguko kuna mengi spiritual huchukua nafasi.. kile huwa ni kipindi cha kutakaswaapo sjui lolote ndo nataka nipate maelekezo mazuuuuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
goja mtaalamu aje akupe madini.. kipindi cha damu zile za mzunguko kuna mengi spiritual huchukua nafasi.. kile huwa ni kipindi cha kutakaswaapo sjui lolote ndo nataka nipate maelekezo mazuuuuri
mmeamua kutuua presha,,wacha tuwaroge tuAu tuisheni ama yaweza kua hata biashara mkuu..🙄
Pitia iyo thread kuna madiniYani umeongea ukweli mtupu hata hujapepesa macho.
Enheee tuendelee basi nawewe,,achia nyama zote mbona unatoa nusu nusu.goja mtaalamu aje akupe madini.. kipindi cha damu zile za mzunguko kuna mengi spiritual huchukua nafasi.. kile huwa ni kipindi cha kutakaswa
Pitia iyo thread kuna madini
View: https://twitter.com/yrnskypper/status/1858751626460193176?t=0z3rEfrVIsQIAOsJCdylAg&s=19
Unasema ukweli, wangu tuliachana miaka 20 iliyopita, lakini hadi leo anadai ananisubiri hajawahi kuolewa, imagine. Na mimi wakati tunaanza alijua nina mke na watoto. Nilichogundua mwanaume kama una mwanamke na unataka kumwacha, jitahidi akuache yeye, ukimwacha wewe, chamoto utakiona hususan akiwa na kiumbe chakoHakunaga kuachana kwa amani trust me… kuachana na mtu umetangaza nae vita… ila sasa upiganaji wake wa hiyo vita ndio kunatofautiana silaa, wenginee wanatumia risasi wengine makombora ya nyukliya
Una hela ya tuition 😜😜Enheee tuendelee basi nawewe,,achia nyama zote mbona unatoa nusu nusu.
uchoyo huu sasaUna hela ya tuition 😜😜
Lazima akubaliane na ukweli kama kiatu kina mbana, basi atakae umia ni yeye.Mkuu mimi nimekubali sio kila mahusiano yataishia kwenye ndoa je Zuchu atakubali
Ndio maana nimesema wanawake tumetofautiana mkuu
Goja nimalizie ugali na bamia hapa nikupe pindiuchoyo huu sasa
Mbona hukufariki kama ni mhanga?Inaumiza sana sana sana
Sasa hivi kumekuwa na matukio yakishamiri ya wanandoa kufariki baada ya ndoa ama siku chache kabla ya ndoa( mimi pia ni muhanga wa kukutwa na hilo tukio japo ilikuwa ni kabla ya ndoa nikapoteza mchumba kwa ajari.. hili sitaki kulizungumzia)
Kama wewe ni mfuatiliaji wa mitandaoni haswa page za kusherehesha utagundua hili jambo, hiki kitu kimekuwa kikipamba moto mno, wanaume kwa wanawake wanafariki muda mchache baada au kabla ya ndoa…
Ukipitia comments nyingi utakuta ni wanawake ndio wamecomment na nyingi zikiwa kama zinafikisha ujumbe kwa wanaume..
Wanaume acheni kuwaumiza mioyo wanawake ambao hamna malengo ya kuwaoa
Hiko hivi wanawake hatufanani kuna kina sisi ambao ukusema mahusiano yamekwisha unihitaji basi nitakubaliana na hali na kusahau na kusonga mbele kama injili, sasa omba mahusiano yako ukutane na kina sisi
Usije ukakutana na kina wale ambao hawajuagi kusamehe wala kusahau utajutaa kwanini ulizaliwa mwanaume,,, hao wanawake ndio hao sasa wabeba visasi ambao wako tayari kwenda kokote kufanya jambo lolote ili mradi akukomoe
Ndio hapo sasa unaposikia bwana/ bibi harusi kafariki miezi 2 baada ya ndoa ama siku 2 kabla ya harusi.. unasababisha watu wasiokuwa na hatia kudhulumiwa uhai wao
Imefikia hatua mpk unaogopa mwanaume atakaenioa ex wake alisamehe na kusahau au na mimi nitajumuishwa kwenye kisasi
Usiseme nimeachana nae kwa amani, wengine huonyesha hivyo mbele yako ukimpa kisogo ndio anaenda kukusemelea kwa babu yake
Nimeleta hili kwasababu kuna mwanaume mwenzenu huko kashasababisha vifo kwa mke na mtoto wake kisa ex wake
Wanaume mnatuhusisha kwenye matatizo ambayo hatuhusiki.. mimi siwezi kujua kila kitu kuhusu mwanaume anaetaka kunioa ukizingatia tumekutana ukubwani.. matokeo yake wanawake ndio tunateswa na ma ex zenu kwasababu zenu ambazo sisi hazituhusu
Imagine unaolewa na mwanaume kumbe alishaishi kinyumba na mwanamke mwinginee kwa ZAIDI Ya Miaka 10 na watoto wa 3,, hivi unafikiri mwanamke kama huyo, akisema analipa kisasi inakuaje??
Kama huna nia ya kuoa acha kumpotezea binti wa watu muda wake.. wanawake huwa tunatunza visasi moyoni anaweza kusema amekusamehe kumbe anakutafutia timing akumalize
Nawasilisha kama hivyo
Sawa wacha niwe mpoleGoja nimalizie ugali na bamia hapa nikupe pindi
Wivu wenu haiwezi tatiza harakati zetu za mbususu,mtajuana wenyewe huko hukoInaumiza sana sana sana
Sasa hivi kumekuwa na matukio yakishamiri ya wanandoa kufariki baada ya ndoa ama siku chache kabla ya ndoa( mimi pia ni muhanga wa kukutwa na hilo tukio japo ilikuwa ni kabla ya ndoa nikapoteza mchumba kwa ajari.. hili sitaki kulizungumzia)
Kama wewe ni mfuatiliaji wa mitandaoni haswa page za kusherehesha utagundua hili jambo, hiki kitu kimekuwa kikipamba moto mno, wanaume kwa wanawake wanafariki muda mchache baada au kabla ya ndoa…
Ukipitia comments nyingi utakuta ni wanawake ndio wamecomment na nyingi zikiwa kama zinafikisha ujumbe kwa wanaume..
Wanaume acheni kuwaumiza mioyo wanawake ambao hamna malengo ya kuwaoa
Hiko hivi wanawake hatufanani kuna kina sisi ambao ukusema mahusiano yamekwisha unihitaji basi nitakubaliana na hali na kusahau na kusonga mbele kama injili, sasa omba mahusiano yako ukutane na kina sisi
Usije ukakutana na kina wale ambao hawajuagi kusamehe wala kusahau utajutaa kwanini ulizaliwa mwanaume,,, hao wanawake ndio hao sasa wabeba visasi ambao wako tayari kwenda kokote kufanya jambo lolote ili mradi akukomoe
Ndio hapo sasa unaposikia bwana/ bibi harusi kafariki miezi 2 baada ya ndoa ama siku 2 kabla ya harusi.. unasababisha watu wasiokuwa na hatia kudhulumiwa uhai wao
Imefikia hatua mpk unaogopa mwanaume atakaenioa ex wake alisamehe na kusahau au na mimi nitajumuishwa kwenye kisasi
Usiseme nimeachana nae kwa amani, wengine huonyesha hivyo mbele yako ukimpa kisogo ndio anaenda kukusemelea kwa babu yake
Nimeleta hili kwasababu kuna mwanaume mwenzenu huko kashasababisha vifo kwa mke na mtoto wake kisa ex wake
Wanaume mnatuhusisha kwenye matatizo ambayo hatuhusiki.. mimi siwezi kujua kila kitu kuhusu mwanaume anaetaka kunioa ukizingatia tumekutana ukubwani.. matokeo yake wanawake ndio tunateswa na ma ex zenu kwasababu zenu ambazo sisi hazituhusu
Imagine unaolewa na mwanaume kumbe alishaishi kinyumba na mwanamke mwinginee kwa ZAIDI Ya Miaka 10 na watoto wa 3,, hivi unafikiri mwanamke kama huyo, akisema analipa kisasi inakuaje??
Kama huna nia ya kuoa acha kumpotezea binti wa watu muda wake.. wanawake huwa tunatunza visasi moyoni anaweza kusema amekusamehe kumbe anakutafutia timing akumalize
Nawasilisha kama hivyo
Kwa dam ya yesu atashndwaMimi sikutishi mkuu ndio uhalisia wa mambo ya sasa wanawake wengi ni washirikina kama hatokupoteza wewe atapoteza huyo unaemwita mtoto mbichi
Kipindi cha ( 🌘 ), huwa kipindi cha utakaso kwa mwanamke. Mwanamke anaweza kukitumia for positive na anaweza kukitumia vibaya. Tuanze na positive ( damu huwa ina beba information ) inaweza kuwa bad or good, maana yake damu inayotoka imebeba information na unaweza feed information ( kuna aina ya information kipindi hicho, kuna information ambazo haupo aware nazo , hizi pia zinatoka na zinaweza kuingia ) kwenye damu unaweza feed information ambazo upo aware nazo.. but kwa damu ya mwezini inapokuwa inatoka ina carry somethings kisicho na uhai tena ( unapoteza uhai ) inakuwa bad.. ( hiyo unaweza tumia mlaani mtu n.k inatumika kama tape recorder) hapa sitozungumzia sana, nitakuwa kama nafundisha uchawi 😜😜.. acha nikampande farasi wangu tukimbieSawa wacha niwe mpole