Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika message yote ulichopenda ndo Iko🤣 kweli mvivuNapenda kuongea haraka haraka kama hivi
Ila siwezi
Hayo majini yanauzwa wapi mbona hajamalizia tangazo la biasharaView attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃
Hahahah yaani napendaga wanaoongea hivyoKatika message yote ulichopenda ndo Iko🤣 kweli mvivu
Jifunze tu japo wengi wao kuongea pumba ni dakika 0.Napenda kuongea haraka haraka kama hivi
Ila siwezi
Inaweza kuwa nimetupiwa jini na sijui ujueView attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃
Maana sielewi elewi kabisaNdio ujitafakarii
Kweli wanaumiza sana ila kuroga hapana jamen.Unajua kitendo Cha kwenda Kwa mganga tu tayari we ni mwanga
Watu wanarogwa mkuuWateja wa waganga ni wanawake
Bila wanawake waganga wangekuwa wameshatafuta kazi halali za kufanya na kuacha utapeli.
Maana wanaume tunatumia akili sio hisia mganga hawezi kutudanganya.
Uhalisia uchawi haupo. Hakuna mganga anayeweza kumpangia fate binadamu yeyote.. mganga mwenyewe maskini halafu akupe utajiri. Mganga mwenyewe hawezi kupata mume mwenye hela halafu akupe wewe mume mwenye hela.
Mganga mwenyewe anaumizwa na mapenzi halafu akusaidie wewe usiumie kwenye mapenzi.
Uchawi ni myth tu.
Nchi zilizoendelea zilishasahau hizo hadithi zamani sana. Huku africa mnadanganyana na kurogana
Watu wanarogwa mkuu
Comment yangu ya kwanza nimesema sipendi na sitowahi kwenda Kwa mganga 🙏Mroge bill gate awe mumeo. Ama mroge bakhressa akuoe.. ama mo dewji