Wanaume mmemsikia mwenyekiti wa wanawake? Haya kazi kwenu

Wanaume mmemsikia mwenyekiti wa wanawake? Haya kazi kwenu

View attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahaha wewe dada, ila ni kweli..Mungu sisi binadamu tunamuachia mambo mengiii sanaa, Maisha ni yetu tuyapambanie..

Ila sasa hiyo vita ya kikao chenu, ya moto sanaa tulieni bhanaa
 
Napenda kuongea haraka haraka kama hivi

Ila siwezi
Hata usitamani wengine hapa tunasauti za kinyakyusa tukiongea haraka wanadai tunafoka ni mwendo wakuadopt slow motion na kuwa holy mary
 
Aisee!? Kuna mda huwa nashindwa kuelewa nikuweke kundi gani litakalo kufaa zaid
Easy wangu! Nimepitia mengi ambayo yamenifanya masuala ya mapenz nimeyaacha kama yalivyo...Sina complication kabisa.Kama Mungu amepanga nitaishi na mume mwenye kujali nitapata TU,kama haijapangwa maisha niishiyo sio mbaya pia❤️
 
Hahaha wewe dada, ila ni kweli..Mungu sisi binadamu tunamuachia mambo mengiii sanaa, Maisha ni yetu tuyapambanie..

Ila sasa hiyo vita ya kikao chenu, ya moto sanaa tulieni bhanaa
Hatupoiii hadi mnyookee
 
Na umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉
Na uliongeza nae mtoto mwingine? Nadhani napitia hali yako!
 
Anapata tena vizuri tu.
Kwani nyie mkiona utelezi huwa mnakumbuka mengine?
Kuliwa utelezi na kuoa ni vitu viwili tofauti. Mpo ambao Mungu amewatunukuu utelezi malidadi. Lakini hakuna anayeweza kuthubutu kuwaoa
 
Easy wangu! Nimepitia mengi ambayo yamenifanya masuala ya mapenz nimeyaacha kama yalivyo...Sina complication kabisa.Kama Mungu amepanga nitaishi na mume mwenye kujali nitapata TU,kama haijapangwa maisha niishiyo sio mbaya pia❤️
Aisee!!
Ila Mungu atajaria tu as long as bado upo hai ipo siku utapata mwenyewe kujielewa na kukthamini
 
View attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?

Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃
Dawa ni kukaa kwa Yesu, dunia inatesa watu sana. Watu wanaishi maisha ya mihangaiko mingi sana... ndoa zilizoamua kumweka Mungu pembeni zimekuwa silaha za kuua maisha yao.
 
Back
Top Bottom