Nakuja pm, kuna nyau nataka nimnyoosheKwa utekelezaji wa azimio la Mwenyekiti wenu nioneni mimi nafuga majini aina zote bei maelewano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja pm, kuna nyau nataka nimnyoosheKwa utekelezaji wa azimio la Mwenyekiti wenu nioneni mimi nafuga majini aina zote bei maelewano
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Nakuja pm, kuna nyau nataka nimnyooshe
Usishangae....nataka nimtupie mtu kijini[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mkuu akipona akajua ni wewe amini nakwambia utarushiwa kombora za mpigo kama mu yukireiniUsishangae....nataka nimtupie mtu kijini
Anawaelekeza watu kufanya ushirikina. Ni msiba mzito sana.View attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃
Acha kuwa overrate hao jamaa zako. Kwamba hawana imani za kijinga? Hivi ujinga wa kuogopa namba 13 upo wapi kwa sana? Au upumbavu wa kuogopa "aliens"? Na ujinga mwengine mwingi sana.Nchi zilizoendelea zilishasahau hizo hadithi zamani sana. Huku africa mnadanganyana na kurogan
Tuanzie hapa kwanza.View attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃
Pole sana huko nchi zilizoendelea wana tarots (ramli ya kadi), Wana wachawi had wao wenyewe wanawahusudu nenda New Zealand. Wao wanaamin juu ya aliens hapi unawaona wa Maana kuliko Hawa wa Swahili et?Nchi zilizoendelea zilishasahau hizo hadithi zamani sana. Huku africa mnadanganyana na kurogana
Jirani naomba uniendee kwa mganga uninyoshe kidogo... maana nimeshindikana...Comment yangu ya kwanza nimesema sipendi na sitowahi kwenda Kwa mganga 🙏
Naomba namba yake anitupie jini mpapatikoView attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃
Na umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉Jirani naomba uniendee kwa mganga uninyoshe kidogo... maana nimeshindikana...
Pole sana, ila mimi nataka uniroge jirani...Na umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉
Aisee!? Kuna mda huwa nashindwa kuelewa nikuweke kundi gani litakalo kufaa zaidNa umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉
Watu wanarogwa mkuu