Wanaume mmemsikia mwenyekiti wa wanawake? Haya kazi kwenu

Wanaume mmemsikia mwenyekiti wa wanawake? Haya kazi kwenu

Nchi zilizoendelea zilishasahau hizo hadithi zamani sana. Huku africa mnadanganyana na kurogana
Pole sana huko nchi zilizoendelea wana tarots (ramli ya kadi), Wana wachawi had wao wenyewe wanawahusudu nenda New Zealand. Wao wanaamin juu ya aliens hapi unawaona wa Maana kuliko Hawa wa Swahili et?
 
Jirani naomba uniendee kwa mganga uninyoshe kidogo... maana nimeshindikana...
Na umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉
 
Na umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉
Pole sana, ila mimi nataka uniroge jirani...
 
Na umeshimdikana Kwa kweli 🙌....sasa nikusimulie kitu bhana ...baba mtoto alipozingua Ile mimba ya kwanza dada zake wakanishauri nimwendee Kwa mganga atulie ....nilichowajibu ni kuwa kusex na kupata mimba kabla ya ndoa tayari nishamkufuru Mungu sasa kwenda Tena Kwa mganga hiyo dhambi si nitakuwa nimemdharau kabisa mwenyez Mungu....siwez kama si wangu si wangu TU.Na kwako jirani kama wewe ni jirani yangu ni jirani yangu TU na kama siyo bas siyo wangu TU ataekupata na mkapendana ndiye uliyepangiwa kufanya nae ujirani jirani yangu😉
Aisee!? Kuna mda huwa nashindwa kuelewa nikuweke kundi gani litakalo kufaa zaid
 
Anapromote biashara ya kufuga majin.
Wao wachepuke akichepuka mume kosa. Nani kawaambia mume utulizwa na shoo
 
Mimi nataka nimnyooshe mtu kwa jinni Maimuna awe ananilipia tozo zote za Serikali😬
 
Back
Top Bottom