Wanaume mmemsikia mwenyekiti wa wanawake? Haya kazi kwenu

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Your browser is not able to display this video.

Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?

Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
View attachment 2329149
Wanawake mmesikia makubaliano ya kikao chetu cha mwisho?
Hakuna kumuachia Mungu.... Mungu muachie hesabu malipo tulipane hapa hapa.
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
Hayo majini yanauzwa wapi mbona hajamalizia tangazo la biashara
 
Kweli wanaumiza sana ila kuroga hapana jamen.Unajua kitendo Cha kwenda Kwa mganga tu tayari we ni mwanga

Wateja wa waganga ni wanawake

Bila wanawake waganga wangekuwa wameshatafuta kazi halali za kufanya na kuacha utapeli.

Maana wanaume tunatumia akili sio hisia mganga hawezi kutudanganya.

Uhalisia uchawi haupo. Hakuna mganga anayeweza kumpangia fate binadamu yeyote.. mganga mwenyewe maskini halafu akupe utajiri. Mganga mwenyewe hawezi kupata mume mwenye hela halafu akupe wewe mume mwenye hela.

Mganga mwenyewe anaumizwa na mapenzi halafu akusaidie wewe usiumie kwenye mapenzi.

Uchawi ni myth tu.

Nchi zilizoendelea zilishasahau hizo hadithi zamani sana. Huku africa mnadanganyana na kurogana
 
Nimeaga na bibi akanichinjia kondoo

Sijatishika hata chembe aisee

Wanangu tusiache kula mbususu ni nyingi sana tusitegeane hata kidogo

Program ni ile ile tunatafuta za kuwala na maendeleo[emoji41]
 
Watu wanarogwa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…