Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipena nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Kesha liwa tayari!!!😄😄😄
 
Usituchukie wanaume wote Kwa kosa la mtu mmoja
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Ulimpa 🤔?
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Nawe kudanganywa kidogo tu ukajaa.pole kwa kujidhalilisha.
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Nisamehe my dear sikutegemea kama utakuwa na kitumbua kichafu hivyo! Mwonekano wako kwa nje uko poa sana, sasa huko ndani. Nisingeweza kukaa na wewe milele!
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Tatzo Dunia hii ya kisasa inatuhukumu wenyewe kutoka na misingi ya kisasab (Utandawazi)
Pole sana mkuu

Nazan kwa umri ulionao sizan kwa maelekezo ya awali kbsa unashawishika na neno ndoa , ukiona mwanaume anakuja kwa style hiyo mchomelee no matter how smart he is ,


Neno ndoa huja mbele ya maahusiano i think you have a lesson ,
 
Kuna Mjukuu wangu mmoja aliwahi kupitia huo Mtihani miaka 20 iliyopita

Yeye hadi Wazee walikuja nyumbani kumtolea Posa

Kumbe hawakuwa Wazee, isipokuwa Wazee wahuni wa DSM.

Kumbe yule Mjukuu alimwambia yule Kijana muuoaji eti ili ampe utamu wake, sharti aje amtolee barua ya Posa.

Posa ililetwa na Wazee wa mchongo shilingi 30,000 wakiwa wamevaa vizuri huku wakipiga stori za Uwongo kwamba wanasubiri meli yao ipakue mzigo pale bandarini, na Kijana muoaji eti ndiyo Msimamizi pekee wa biashara zao.

Baada ya Posa, Binti Mjukuu akamfungulia miguu Kijana muoaji wa mchongo

Kijana alijipigia kama Mwezi mmoja hivi, baada ya pale akahama Mtaa na Wala lile ghetto zuri halikuwa la kwake Bali aliazima tu ili kumvutia Binti

Kijana akalala mbele pamoja na Wazee wake wa mchongo (aliowakodi pale Magomeni) 🙌

Pole binti yangu Miss Natafutwa
 
Kuna Mjukuu wangu mmoja aliwahi kupitia huo Mtihani miaka 20 iliyopita

Yeye hadi Wazee walikuja nyumbani kumtolea Posa

Kumbe hawakuwa Wazee, isipokuwa Wazee wahuni wa DSM.

Kumbe yule Mjukuu alimwambia yule Kijana muuoaji eti ili ampe utamu wake, sharti aje amtolee barua ya Posa.

Posa ililetwa na Wazee wa mchongo shilingi 30,000 wakiwa wamevaa vizuri huku wakipiga stori za Uwongo kwamba wanasubiri meli yao ipakue mzigo pale bandarini, na Kijana muoaji eti ndiyo Msimamizi pekee wa biashara zao.

Baada ya Posa, Binti Mjukuu akamfungulia miguu Kijana muoaji wa mchongo

Kijana alijipigia kama Mwezi mmoja hivi, baada ya pale akahama Mtaa na Wala lile ghetto zuri halikuwa la kwake Bali aliazima tu ili kumvutia Binti

Kijana akalala mbele pamoja na Wazee wake wa mchongo (aliowakodi pale Magomeni) 🙌

Pole binti yangu Miss Natafutwa
Ila vijana wana Mbinu Looh😃😂😓

Pole yake huyo binti, japo najua saizi atakuwa mmama
 
Back
Top Bottom