Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Spinning at Work.

Attention Seeker.
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Afya ya akili
 
Uyu ni uji wa ugali ukiweka mwepesi unaungua wewwle kwahy unacheza na mdundo
sjui kwa nn sku hizi wasichana na wanawake wengi hawajui thamani zao, yan unakutana na mwanaume juzi tayar ushamvulia chupi, sisem kuwa amvutie muda ndio ampe kuna ile unaamua kuingia mapenzin ukiwa makini umependa lakini akili yako inafanya kazi sasa huyu haylta ningekua mm ni me ningeichapa nikalala hivi maana yeye mwenyewe hajielewi.
 
sjui kwa nn sku hizi wasichana na wanawake wengi hawajui thamani zao, yan unakutana na mwanaume juzi tayar ushamvulia chupi, sisem kuwa amvutie muda ndio ampe kuna ile unaamua kuingia mapenzin ukiwa makini umependa lakini akili yako inafanya kazi sasa huyu haylta ningekua mm ni me ningeichapa nikalala hivi maana yeye mwenyewe hajielewi.
Lakini kuwahi au kutokuwahi kulala na mtu sio sababu ya kudumu kwenye mahusiano.
Mwanaume akiwa na nia ya kukuchezea atasubiri hata mwaka huku anakuvutia pumzi, siku utakayompa ndio itakua kwaheri ya kuonana.
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
1.Thamani gani ulonayo wewe ambayo unaweza kumpa mwanaume?
2. Umesahau kipindi bado Kigoli ulivyo kuwa unasumbua vijana? Cha ajabu ulikuwa unawafuata mibaba na wenye pesa.... sasa umri umeenda unatafuta pa kupumzikia.... hahahaha dooh! Yesu rudi kwakweli, maana dunia ina mambo....
 
sjui kwa nn sku hizi wasichana na wanawake wengi hawajui thamani zao, yan unakutana na mwanaume juzi tayar ushamvulia chupi, sisem kuwa amvutie muda ndio ampe kuna ile unaamua kuingia mapenzin ukiwa makini umependa lakini akili yako inafanya kazi sasa huyu haylta ningekua mm ni me ningeichapa nikalala hivi maana yeye mwenyewe hajielewi.
Genye azivumiliki bhna
 
Ila vijana wana Mbinu Looh😃😂😓

Pole yake huyo binti, japo najua saizi atakuwa mmama
Hizo mbinu walizitumia sana miaka ya 90 mwishoni hadi 2000 mwanzoni

Na walizitumia kwa mabinti wa geti Kali

Ilifikia wakati Vijana hata kama hawana magari, waliweza kukodisha na kuja nayo nyumbani Kwa binti waliyemvizia

Binti akiingia kwenye mfumo, basi watajipigia kisha kumkimbia

Nashangaa Vijana wa kiume wa miaka hii walivyolala, wanaziacha PisiKali hadi zinabebwa na Wazee 🤗
 
Lakini kuwahi au kutokuwahi kulala na mtu sio sababu ya kudumu kwenye mahusiano.
Mwanaume akiwa na nia ya kukuchezea atasubiri hata mwaka huku anakuvutia pumzi, siku utakayompa ndio itakua kwaheri ya kuonana.
hata kama ila ninachoamini tabia ni kama ngozi ya mwili n ngumu kuifake kuna red flags utaziona labda uamue kuzipuuza kwa kupenda bila kuishirikisha akili.
 
Back
Top Bottom