Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 252
- 301
Ila pole.. Wa kwako yupo tu mwombe Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwinu za kifita hzoFita ni fita
Nina zawadi yako ya velentino🤣Utamu walisikia wote ila anavyolalamika utadhani alikua anaumia.
Valentino ndiye nani?Nina zawadi yako ya velentino🤣
UKOME!Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Simjui lkn nasikia Valentino atakuja 14 hiviValentino ndiye nani?
wanafiki wamewasili😂Ivi mtu unaachaje mwanamke🤔 pole sana bidaa
🥴🤣🤣🤣Kumbe uko huku I swear sitofanya hivyo tena kwa mwanamke mwingine.
Hakuna wanawake wa kuwapeleka kwenye madhabahu za kweli za Mungu na kufunga ndoa.Mama ukiilegeza itapunwa tu.
Kwenye vita Huwa hatujachugui silaha za kutumia...... Kuwa na uhakika utolewa Hadi pale mtakapo simama madhabahuni kufunga ndoa mbele ya paroko.
Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamuaTujuze kwanza huyo mtu yupo humu ?? Maana maelezo yako yanamlenga kiumbe kilichopo humu
😂😂 Ila DemiBadala uconcentrate kwenye kazi ambayo umeitafuta muda mrefu unahangaika na mapenzi. Usipokuwa makini hata hiyo kazi utaipoteza uje tena kulialia hapa .
Hahahaha "kwenye vita huwa hatuchagui simama ya kutumia" hii kauli inanikumbusha kipindi fulani nlikuwa na mshikaji wangu pale SP Tabata bima, tumekaa tunaangalia mpira besides kulikuwa na mtoto mzuri mmoja yupo na majamaa zake, jamaa alimtembezea savanna za kutosha, nikamuuliza mbona tunatumia gharama KUBWA ivyo jamaa likaniambia "vita haichagui silaha"... na kweli alikujaga kujipigia yule mtoto.Mama ukiilegeza itapunwa tu.
Kwenye vita Huwa hatujachugui silaha za kutumia...... Kuwa na uhakika utolewa Hadi pale mtakapo simama madhabahuni kufunga ndoa mbele ya paroko.