Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Nini tena mkuu wangu😊🥴🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena mkuu wangu😊🥴🤣🤣🤣
Nimefurahi kukuonaNini tena mkuu wangu😊
Soma hii coment!soma!Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
😃 Vipi lakiniNimefurahi kukuona
Mkuu Jibu lako linaukali, kias kwamba litamfanya miss wetu apunguze kilio akishangaa ulivomwandikiaUKOME!
Poa sana aisee✌️😃 Vipi lakini
Maisha yanakupeleka slow jam but with sure of the lifeJuzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Tangazo lako lipo kimkakati Sana saafJuzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Ukiona anakuumiza na hajali basi jua huko alikopita ameumizwa badly.Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
atajua mwenyeweMkuu Jibu lako linaukali, kias kwamba litamfanya miss wetu apunguze kilio akishangaa ulivomwandikia
🤝Poa sana aisee✌️
Yaani kazi umepata January..Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Kwan alikuw anakula vya watu alafu mzgo akaw anaznguaKuna Mjukuu wangu mmoja aliwahi kupitia huo Mtihani miaka 20 iliyopita
Yeye hadi Wazee walikuja nyumbani kumtolea Posa
Kumbe hawakuwa Wazee, isipokuwa Wazee wahuni wa DSM.
Kumbe yule Mjukuu alimwambia yule Kijana muuoaji eti ili ampe utamu wake, sharti aje amtolee barua ya Posa.
Posa ililetwa na Wazee wa mchongo shilingi 30,000 wakiwa wamevaa vizuri huku wakipiga stori za Uwongo kwamba wanasubiri meli yao ipakue mzigo pale bandarini, na Kijana muoaji eti ndiyo Msimamizi pekee wa biashara zao.
Baada ya Posa, Binti Mjukuu akamfungulia miguu Kijana muoaji wa mchongo
Kijana alijipigia kama Mwezi mmoja hivi, baada ya pale akahama Mtaa na Wala lile ghetto zuri halikuwa la kwake Bali aliazima tu ili kumvutia Binti
Kijana akalala mbele pamoja na Wazee wake wa mchongo (aliowakodi pale Magomeni) 🙌
Pole binti yangu Miss Natafutwa
Dada etu akajua mwaka ameuanza gud, kwakujua amepga ndege wawili jiwe moja.Yaani kazi umepata January..
Januari hiyo hiyo umepata na mpenzi..
Ndani ya hiyo hiyo januari umeshampa kila kitu na mmeshapanga na mipango ya ndoa!
Dada hebu punguza spidi kidogo