kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Kwani wewe ni mwanaume?Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ni mwanaume?Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Mimi nipo tayari kukuoa mke wa tatu. Nipo Serious, naomba njoo inbox.Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Siku nyingine usimvulie chupi mwanaume anayekuahidi kukuoa, hao viumbe ni watu waliigombana na wake zao then hukimbilia kwa muda kwa mademu kama wewe...Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Bibie tafuta kazi ufanye,achana mambo ya kuuza mwili wakoJuzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
na ww ukaamini? sjui kwa nn ila naamini hakuna linaloshindikana ukiamua kuacha unaweza kuacha huko ni kujuendekeza.Kuna wanawake wanasema wao wanajini mahaba kwahy anwafanya wasikate akiona zipu tu anaitaka kuifungua yeye mwenyewe
na tena muoaji aseme ndio nime kubali 😂😂Mama ukiilegeza itapunwa tu.
Kwenye vita Huwa hatujachugui silaha za kutumia...... Kuwa na uhakika utolewa Hadi pale mtakapo simama madhabahuni kufunga ndoa mbele ya paroko.
Si ushanitaja 😂😂😂 yule kichaa najuta kwanza kwanin nilimpa nafasiNikutaje? Mwachiluwi
Sasa kama wao wanasema ivyo nan wakupingana ww ukaamini? sjui kwa nn ila naamini hakuna linaloshindikana ukiamua kuacha unaweza kuacha huko ni kujuendekeza.
Na hili ndo linatushangaza sana wanaume...tunaenjoy wote, kwenye kuachana mnasema tunawachezea...🤔🤧🥺🥺Kwani na wewe siulienjoy?
Wapo wengi tu nawa jua, yaani hata atoke Sasa hivi, aki ombwa hachomoina ww ukaamini? sjui kwa nn ila naamini hakuna linaloshindikana ukiamua kuacha unaweza kuacha huko ni kujuendekeza.
ujinga ujinga tuSasa kama wao wanasema ivyo nan wakupinga
hawajaamua tu lakin wakiamua wanawezaWapo wengi tu nawa jua, yaani hata atoke Sasa hivi, aki ombwa hachomoi
Ni kuhalalisha zinaaujinga ujinga tu
muraaaa hahahhahaFita ni fita
Bro bro bro nime kuita mara tatu 😂 😂Hizi ndo zile thread za kimkakati
haramu ni tamu lakini uwe na akili zakoNi kuhalalisha zinaa