Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Huenda huna thamani nd maana unajirahiasi chap, anayetaka ndoa hatak chapu we bana mapaja muache amwage sera akisema anataka kuoa mwelekeze posa apeleke wapi, ndo utajua imo au haimo
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Na utaachwa sana, sasa kazi inahusiana nini na mapenzi? Au tangazo hili?
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa

Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.

Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Kwahiyo baada ya ule Uzi wako watu walitumia fulsa au... Anyway, pole sana, ndio maisha.
 
Usiwalaumu wanaume, mlaumu "shetanii"
Hyo ndo kazi ya shetani.

»»ZAMANI SHETANI ALITUMIA SANA WANAWAKE ILI APATE KUWAANGUSHA WANAUME, LAKINI LEO KINYUME CHAKE NDO UKWELI.

»»mshukru MUNGU kati yako na huyo mwanaume kuna mmoja MUNGU amemuepusha na madhara ya shetani ambayo angeweza kuyakuta huko mbeleni.

»ACHA KUFANYA MAPENZI, FANYA KAZI UJIONGEZEE KIPATO UWEZE KUWA KAMA WENGNE.

inaonekana uliwekeza sana kumuomba MUNGU upate kazi, baada ya kupata kazi umewekeza kwenye uzinzi badala ya kuwekeza kwenye uzima.

»USIWACHUKIE WANAUME, CHUKIA ROHO INAYOWAINGIA ILHALI HAWANA UWEZO WA KUPAMBANA NAYO.
 
Pole sana.
Wanawake! kuweni makini sana na wanaume wanaotanguliza kufanya ngono kabla ya ndoa. Tatizo la lenu mnafikiri ukimpa hiyo papa yako ndio atakuoa. Kuwa na msimamo. Mtangulize Mungu katika kutafuta mwenzi wa maisha. Usifanye bahati nasibu katika mapenzi.
Nimemaliza. Mwenye masikio na asikie
 
Ohooo pole sana husijilaum Wala usimlaumu huenda mungu amekuepusha na chaguo lisilo sahihi kweny maisha yako good bye
 
Back
Top Bottom