BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Karma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahh kukataa kwa mdomo, ila moyo una chekelea 😂Hapana Mkuu, Mimi huwa nasoma humu mtandaoni wanavyosema Vijana
Na Uzee huu nilionao nitawezea wapi hayo mambo 😜
Uhakika. Yeye analitarajia ndoa ni nyepesi kiasi hichona tena muoaji aseme ndio nime kubali 😂😂
Tumuombee mwenzetuKashapatikana uoni ajibu comment
Huenda huna thamani nd maana unajirahiasi chap, anayetaka ndoa hatak chapu we bana mapaja muache amwage sera akisema anataka kuoa mwelekeze posa apeleke wapi, ndo utajua imo au haimoJuzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Na hv hamna kazi ngumu unapiga thrust million tatu Kwa kiunzi kimojaHiyo uhakika, aki taka aijie utambi huo atapata
Kumbe fridge lake haligandishi?Hata hivyo msingefika mbali kwa mdomo wako huo,. Mwanamke huna kifua weye kila kitu wakisema na kuandika kabla hakijawa kweli .
Ukome mwana kulitafuta
tuna ichapa usiku na mchana 🤣 😂Na hv hamna kazi ngumu unapiga thrust million tatu Kwa kiunzi kimoja
Na utaachwa sana, sasa kazi inahusiana nini na mapenzi? Au tangazo hili?Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Hata wenye wake tunaongeza na alijua ana mke, abane mapaja tu mambo yatakaa sawa, wanawake wote baneni mapaja muone maajabu wote mtaolewa, unatoaje utamu bila ndoa?Yaani mjuba kumbe ana mke halafu akakuambia atakuoa ukaamini?
Endelea kutafuta bado haujakutana na your destiny.
Kwahiyo baada ya ule Uzi wako watu walitumia fulsa au... Anyway, pole sana, ndio maisha.Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Hivi ninyi wanaume mtachezea wanawake mpaka lini?
Kwani ungesema kama umekuja kwangu bila kuingiza gia ya ndoa si ningekuelewa tu?
Najuta kumpa thamani yangu.
Nawachukia wanaume kuanzia leo.
Mnatesa sana wanawake wanaowaamini.
Kwani ni lazima unifate mbona wanawake wamejaa tele?
Nimeumia sana na sana.
Sipendi jamani.
Mnazidi kunipa maumivu tu.
Au kwa kuwa alijua maisha yangu ya nyuma?
Nimeumia sana.
Nawachukia sana nyie wanaume.
Naomba tusivurugane aisee.
Wakati huu nalia mwenyewe wewe unacheka na mkeo kwako.
Sitaki.
Ila yote ni maisha.
Niache ndio nitapata mwingine.
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Sikutegemea.
Sawa nimekubali kuachika.
Furahi wewe.
Upo kama mimi ikifika 40k bado sielewielewi nakimbiaHehehehe... halafu wanahisi sisi hatupigi hesabu, mi huwa najumlisha.
NakaziaBadala uconcentrate kwenye kazi ambayo umeitafuta muda mrefu unahangaika na mapenzi. Usipokuwa makini hata hiyo kazi utaipoteza uje tena kulialia hapa .