Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
PilipiliHii kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PilipiliHii kali
Kwahiyo aendelee kumpa huku anasubiri majibu?? 😹😹Siku hizi kumnyima mtu kipapa sio adhabu bhana imekua outdated🤣 labda kwa mgeni wa jiji.
Wakae wayajenge binti aangalie tabia ya mtu wake na anachokilenga na nia yake kwanini hamzingatii suala lake atamweleza.
Asipomuelewa akipata mtu atembee, akiridhia atulie asubiri.
Ampe tu kwani ina last seen ? 🤣 Kama anaona haelewi aondoke zake ausikilize tu moyo wake !!Kwahiyo aendelee kumpa huku anasubiri majibu?? 😹😹
Hakuna cha outdated hiyo mbinu haina mbadala, yeye amnyime ili aone true color zake..!! Huyo bwana mjanja mjanja anataka ajipigie free P baadae akijipata atafute mke anayemtaka kwa muda huo..!!
Kipapa anyimwe, mwanaume mwenye visingizio vya kujitafuta kwa mwanamke anaangalia kipapa basi..!!
Hawa viumbe hawajawahi kua wazuri hata siku moja wanaume tuendelee kuwachakata, kuwazalisha na kuwatelekezaoAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
😹😹😹 Eeh kwahiyo ipigwe blue tick?!!Ampe tu kwani ina last seen ? 🤣 Kama anaona haelewi aondoke zake ausikilize tu moyo wake !!
[emoji28] Another reason to fear women.....Impatient[emoji706]
Upo sahihi kabisa, sasa hivi ni kuvisha pete na kusubiri ukiwa ndani. Ila ukishindwa kuwa mvumilivu ni wewe sasa.Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Una loint ya msingi. Tumekusikia. Wacha tukalijadili na am sure we will come up with a solutionAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Amka tuchatPilipili
Mwanamme hasubiriwi, angetaka angekuweka ndani. Kimbia, yeye anasubiri kumpata mke wakeAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Upanuko Wa bwawa la mteraTulia uongezewe kilometers kwanza
Mileage ya kutoshaUpanuko Wa bwawa la mtera
SijalalaAmka tuchat
Sawa sawaSijalala