Wanaume mnajua mna matatizo

Wanaume mnajua mna matatizo

Siku hizi kumnyima mtu kipapa sio adhabu bhana imekua outdated🤣 labda kwa mgeni wa jiji.
Wakae wayajenge binti aangalie tabia ya mtu wake na anachokilenga na nia yake kwanini hamzingatii suala lake atamweleza.
Asipomuelewa akipata mtu atembee, akiridhia atulie asubiri.
Kwahiyo aendelee kumpa huku anasubiri majibu?? 😹😹
Hakuna cha outdated hiyo mbinu haina mbadala, yeye amnyime ili aone true color zake..!! Huyo bwana mjanja mjanja anataka ajipigie free P baadae akijipata atafute mke anayemtaka kwa muda huo..!!

Kipapa anyimwe, mwanaume mwenye visingizio vya kujitafuta kwa mwanamke anaangalia kipapa basi..!!
 
Kwahiyo aendelee kumpa huku anasubiri majibu?? 😹😹
Hakuna cha outdated hiyo mbinu haina mbadala, yeye amnyime ili aone true color zake..!! Huyo bwana mjanja mjanja anataka ajipigie free P baadae akijipata atafute mke anayemtaka kwa muda huo..!!

Kipapa anyimwe, mwanaume mwenye visingizio vya kujitafuta kwa mwanamke anaangalia kipapa basi..!!
Ampe tu kwani ina last seen ? 🤣 Kama anaona haelewi aondoke zake ausikilize tu moyo wake !!
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Hawa viumbe hawajawahi kua wazuri hata siku moja wanaume tuendelee kuwachakata, kuwazalisha na kuwatelekezao
 
Mlipokuwa faragha mnaongea, uliitikia kwa bashasha. Iweje ulivyotoka uje ulalamikie humu?
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Upo sahihi kabisa, sasa hivi ni kuvisha pete na kusubiri ukiwa ndani. Ila ukishindwa kuwa mvumilivu ni wewe sasa.
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Una loint ya msingi. Tumekusikia. Wacha tukalijadili na am sure we will come up with a solution
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Mwanamme hasubiriwi, angetaka angekuweka ndani. Kimbia, yeye anasubiri kumpata mke wake
 
Back
Top Bottom