Wanaume mnajua mna matatizo

Wanaume mnajua mna matatizo

Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi.

Mwisho anaoa mwingine, baadae mambo yakimuendea mrama anakuja kukuambia kuwa alirogwa. Kumbe ni lana za aliowapotezea muda.

Kama anafaa kwann uchelewe oa, na kama hafai kwann kumpotezea muda temana nae. Watu wana uchumba sugu na moyoni anajua dhahir shahir kuwa hatamuoa binti wa watu. Inaskitsha
Mkuu nili wahi kuwa karibu na binti 1(rip), we were close na tuli kuwa tuna zungumza mengi.

Mipango ya hapa na pale, we even decorated mahali ninapo ishi.
for real I felt she was the one, na hata kwao wali nijua.

bahati mbaya ali pata ajali, bila hivyo ange kuwa ndo kituo changu Cha mwisho .

Beside sioni Raha ya kuruka Kama punje za maharage kwenye maji.
 
.......muwapunguzie mateso jamani. Dada wa watu uchumba unakaa nae miaka 5 kisha unaenda oa mwingine jamani, ujue kuweni na imani walau kidogo.
mkuu me before dating, lazima tuulizane kwanini tuna kuwa kwenye mahusiano ??.

is it for fun , Kama yes, then I'm out.
Kama yenyewe we make it no matter what .
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Mkuu sio ata ni hata!.
 
mkuu me before dating, lazima tuulizane kwanini tuna kuwa kwenye mahusiano ??.

is it for fun , Kama yes, then I'm out.
Kama yenyewe we make it no matter what .
Hakika ww ni mfano wa kuigwa, lakn wenzio hawaulizi zaid sana wanadanganya ooonh nitakuoa.....si mwanamke tu anapotezewa muda hata ninyi wanaume kuwa kweny mahusiano ambayo hujui hatma yake ni kupotezeana muda.
 
Hakika ww ni mfano wa kuigwa, lakn wenzio hawaulizi zaid sana wanadanganya ooonh nitakuoa.....si mwanamke tu anapotezewa muda hata ninyi wanaume kuwa kweny mahusiano ambayo hujui hatma yake ni kupotezeana muda.
angalizo, kuachwa kupo kutokana na Sababu mbali mbali.

mfano, kuona hakuna chochote Cha thamani mwenza wako alicho nacho, kitu pekee ni ngono(arghh).

Mwenendo mbovu wa tabia na maamuzi. BlueIvy
 
Kupata kazi sio kujipata, ana kazi lakini bado kuna watu kwao wanamtegemea na kuitaji awahudumie, sasa hataki kuongeza liability nyingine.
Na pia kashaona wewe ni mzigo mzito, utamuelewa na jahazi linaweza kuzama
 
One of the most difficult task.
Screenshot_20250128-053606_1.jpg
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Hizi hasira zote ni za mwezi dume January, Mi naonaga mifugo tu ndo hainaga muda wa kusubiri, mwanamke ukishamfikisha ndani akaona ulivyo anaanza kuwaza na kulinganisha sehemu alizopelekwa hapo awali, usipokuwa makini Kuna vitu vyako vitasombwa na huo ndo unakuwa Mwisho wa kujuana, ifike hatua muwe mnawauliza hata mama zenu walivyofanikiwa kukaa hata Kwa machale kwenye ndoa zao na kwazaa ninyi.
 
Mkuu hapo ukimaanisha wewe unakuwa tiyari ushajipata uko na pesa na kazi yako kwa ujumla? ......au wewe suala la kutafuta pesa na kujipata halikuhusu?
🤣🤣 Ajipate saa ngapi !! Yeye kazi yake ni kudemand ndoa ! Vijana msioe mpaka mtakaporidhia kwamba mpo tayari kwa jambo hilo !!
Ndoa ni jambo jema ila utayari wa watu wote wawili ni muhimu sio suala la mmoja kuamua !
 
Back
Top Bottom