makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Anajitafuta!!?? muulize alijipoteza wapi, umsaidie kumtafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali utampata aliyesahihi sahihI, kilio chako kimesikikaAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Ili baadaye ukishaolewa uje umerudie huyu jamaa ako wa sahivi, Atakaye kuoa ndo ana hasaraNampenda ananipenda lakin kwa miaka yote iyo siezi subiri. Akitokea mwingine alieko serious namuacha
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Na tunawasasambua kweli kweli..Nyingine hizi ni dalili tu lakini the real psychological and emotional trauma huwa mnaipatia huko vyuoni. Mnaolewa kwa hizi ndoa bubu kwa miaka mitatu mizima mnachezewa tu halafu baada ya chuo vivulana vyenu hivyo vinawatema na kwenda kuoa pisi zingine huko. Wengi wenu mliopita vyuoni mna hasira sana na wanaume na ukiangalia vizuri source yake kubwa ni ama childhood trauma au ni laana ya hizi ndoa zenu bubu za vyuoni.
Seek psychological help and make sure you heal first from all the physical, emotional, spiritual and psychological wounds before you jump into any meaningful relationship vinginevyo MO itakuwa ni ile ile tu (kuchezewa na kuachwa) maana you are damaged goods emotionally japo mnaweza kuwa hamjijui.
View attachment 3216123
Wewe unatoa Nini kwake?Kwanza mtu asiyenipa pesa hata simzingatii 😅😅😅
Pole aiseeAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Mdogo wangu uko busy kuangalia kwamba kijana amejipata ana kazi yake mjini lakini wewe huko unaenda kuoffer nini kwenye ndoa? Usikute na yeye yuko anakutazama wewe bado anaona unateatea mvivu au hutaki kujishughulisha vijana wa siku hizi hawataki ubweteke haimaanishi anataka kukutegemea au kuwa marioo kwako ila lazima mkishaingia kwenye ndoa huko kuna kukwama akikwama anajua ana backup ya msaidizi wake.Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Siku hizi kumnyima mtu kipapa sio adhabu bhana imekua outdated🤣 labda kwa mgeni wa jiji.Asubiriwe kawa Yesu?? Wewe kumpima na yeye imani mnyimwe kei mpk atakapomaliza kujitafuta… shida iko wapi hapo??
Binti kashaoga miaka inaenda , muhuni anamuweka tu !!Subir ajenge uchumi wake vizur [emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio majibu yakoI don't care.
We bwan unasubiriwa hukuNdio majibu yako
Na nanWe bwan unasubiriwa huku
Hii kaliNa nan