Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe umeninyea kwenye dudu langu?
Mbona wewe umeninyea kwenye dudu langu?
Kumbe......!
dunia hii wanawake wangekuwa matajir wanaume tungegegeda lami,sasa kwani sisi kuitegemea serikali yetu kosa ni nn:what: tunatimiza wajibu wetu ktk serikali yetu so kupewa haki zetu km raia wawajibikaji pia ni haki yetu,kwani uliambiwa serikali ni ya akina kinana tuu
UMENENE vizuri, mleta uzi huu ana kitu inaitwa diseases due to experience, kwa nini nchi isinifanyie vya bure, raha mle nyinyi
Najua hamtanielewa ila mwenzangu. Wonderful na akinaatoto watanisaidia hapa kuwatoeni huko.
Kipindi hiki cha uchaguzi hakika nimegundua wanaume mnapenda vya bure sana. Baada ya uchaguzi kuisha mmekuwa ni watu wa kulalamika.
Kulalamika kwenyewe mnalalamika elimu bure,milo mitatu bure, hadi kufika hatua mnasema kuoa itakuwa ngumu,mimba kukataliwa zitaongezeka,Wanaume ni mmelogwa ama? Ni nini hiki mnashadadia vitu vya bure?.
Halafu bila aibu unajiita kamanda, unajua maana ya kamanda?.
Ulipokuwa unazaa watoto wako hukujua itafika siku watahitaji kusoma,hukujua iko siku utataka kuoa then ujipange?
Mungu katubariki Tanzania kuna opportunity za kumwaga,mwanaume unashindwa kuchangamkia fursa?.
Tuna ardhi nzuri mwanaume unashindwa kujikita kwenye kilimo mashamba yenyewe kijijini kukodi kwa mwaka hadi kwa buku kumi unapata?!
Tangu juzi mmekuwa ni watu wa kuandika vitu visivyo na kichwa wala miguu kwenye mitandao kulialia wakati wanawake wako busy kuchakarika na biashara zao.
Mwanaume mzima kweli unalialia? Unasahau uliambiwa utakula kwa jasho?.
Kuna mwingine akasema nahama Tanzania kweli? kisa umekosa vya bure sasa ndo unapata akili ya kuhama nchi wakati hapo mwanzo hata siku moja hukuwahi kucheki nchi gani ya nje ina opportunity ukachakarike huko?.
Serious Wanaume mmekera sana kipindi hiki cha uchaguzi.Mi nilitegemea mabadiliko ambayo yangewasikitisha kuyakosa ni Sera za Act wazalendo sasa mnasikitika milo mitatu? elimu bure?, afya bure,
HEBU WANAUME FANYENI KAZI.
Wanawake pia mfanye kazi sio kusubiri kuletewa kufanya batter trade...
Hela za kusuka na nguo unavadilishana na sex
Ujumbe Huu uwe maalum kwa Mdogo Wangu Sumbai.. Alijua degree Yake Ya pili Angesoma bure
siku zote wanawake hawajielewi/hawaeleweki......
hayo maneno yako nayakataa 100%+
don't generalize