Wanaume mnakera sana kupenda vya bure

Wanaume mnakera sana kupenda vya bure

Hebu anza na huyo kakaako anaechakaza button za remote control za babaako apo sebleni kwenu.
 
dunia hii wanawake wangekuwa matajir wanaume tungegegeda lami,sasa kwani sisi kuitegemea serikali yetu kosa ni nn:what: tunatimiza wajibu wetu ktk serikali yetu so kupewa haki zetu km raia wawajibikaji pia ni haki yetu,kwani uliambiwa serikali ni ya akina kinana tuu

Make sure nchi inatufanyia la maana, madini na kadharika leo mdini na fedha za nchi ma kodi vimetujengea barabara jamaa anazitumaje kutuhadaa...cukua like mzee
UMENENE vizuri, mleta uzi huu ana kitu inaitwa diseases due to experience, kwa nini nchi isinifanyie vya bure, raha mle nyinyi
 
Najua hamtanielewa ila mwenzangu. Wonderful na akinaatoto watanisaidia hapa kuwatoeni huko.

Kipindi hiki cha uchaguzi hakika nimegundua wanaume mnapenda vya bure sana. Baada ya uchaguzi kuisha mmekuwa ni watu wa kulalamika.

Kulalamika kwenyewe mnalalamika elimu bure,milo mitatu bure, hadi kufika hatua mnasema kuoa itakuwa ngumu,mimba kukataliwa zitaongezeka,Wanaume ni mmelogwa ama? Ni nini hiki mnashadadia vitu vya bure?.

Halafu bila aibu unajiita kamanda, unajua maana ya kamanda?.

Ulipokuwa unazaa watoto wako hukujua itafika siku watahitaji kusoma,hukujua iko siku utataka kuoa then ujipange?

Mungu katubariki Tanzania kuna opportunity za kumwaga,mwanaume unashindwa kuchangamkia fursa?.

Tuna ardhi nzuri mwanaume unashindwa kujikita kwenye kilimo mashamba yenyewe kijijini kukodi kwa mwaka hadi kwa buku kumi unapata?!

Tangu juzi mmekuwa ni watu wa kuandika vitu visivyo na kichwa wala miguu kwenye mitandao kulialia wakati wanawake wako busy kuchakarika na biashara zao.

Mwanaume mzima kweli unalialia? Unasahau uliambiwa utakula kwa jasho?.

Kuna mwingine akasema nahama Tanzania kweli? kisa umekosa vya bure sasa ndo unapata akili ya kuhama nchi wakati hapo mwanzo hata siku moja hukuwahi kucheki nchi gani ya nje ina opportunity ukachakarike huko?.

Serious Wanaume mmekera sana kipindi hiki cha uchaguzi.Mi nilitegemea mabadiliko ambayo yangewasikitisha kuyakosa ni Sera za Act wazalendo sasa mnasikitika milo mitatu? elimu bure?, afya bure,

HEBU WANAUME FANYENI KAZI.


Baeleezee hao. Magufuli ameshasema - asiyefanya kazi na asile - na Nyinyi wanawake muwanyime Papuchi pia badala ya kuwalelea - sawa????
 
Ujumbe Huu uwe maalum kwa Mdogo Wangu Sumbai.. Alijua degree Yake Ya pili Angesoma bure
 
Mkiwa pata mabwana zenu huko wapenda vya mteremko masharobaro ndo unakuja kutushalilisha hapa ss wafanyakaz wanaume tunachakarika. Ww endelea kuangaika na wavulana huko utaishiaaa kulalamika kila cku
 
siku zote wanawake hawajielewi/hawaeleweki......
 
Back
Top Bottom