Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Nilipanga ninue rangi tofauti mshahara wa mwezi wa nane ulipotoka , sasa kichekesho ni kuwa ulitoka mshahara ila nilienda mpaka sokoni wanakouza suruali ili walau ninue moja rangi tofauti.

Shida kuna jamaa akasema nisubiri jioni zinakuwepo nyingi nzuri na bei ni ndogo kwa hela yangu naweza kupata hata mbili maana bajeti yangu ilikuwa elfu tano .

Mpka inafika jioni hela yote nilikuwa nimeshampa barmed nilikuwa na elfu mbili hela ya daladala kunifikisha stand ya basi lilipo basi la kwenda kituoni kwangu kulitumikia taifa .

Dada Joannah hili namuomba Mungu nilifanyie kazi bila kuzubaa

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha sana
 
Wale wanaume wacheza vicoba muda wa umbeya unapoanza na wewe upo? Muda wa kuanza kufata vyombo vya mwajuma baada ya kushindwa kulipa demu na ww unakuwepo? Muda wa kuanza majungu na kusemana na wewe upo ukiinua vidole juu na kucheka kicheko cha kikahaba na wewe upo, unapochambwa kwa kuchelewa kuleta marejesho huwa mnafanyaje.... Dah haya mambo kwa sisi wanaume malijali hii inshu ni ngumu, na kwaninu mwanaume ushindwe kutunza kibunda chako... Vicoba pia vinaweza kuwa kisababishi cha ushoga na haiba za kike.
 
Ila wanaume mna limits za kingese

Shida ya vicoba ni ipi
Wanaume wote wanaocheza vicoba
IMG_20230516_101019.jpg
 
Wale wanaume wacheza vicoba muda wa umbeya unapoanza na wewe upo? Muda wa kuanza kufata vyombo vya mwajuma baada ya kushindwa kulipa demu na ww unakuwepo? Muda wa kuanza majungu na kusemana na wewe upo ukiinua vidole juu na kucheka kicheko cha kikahaba na wewe upo, unapochambwa kwa kuchelewa kuleta marejesho huwa mnafanyaje.... Dah haya mambo kwa sisi wanaume malijali hii inshu ni ngumu, na kwaninu mwanaume ushindwe kutunza kibunda chako... Vicoba pia vinaweza kuwa kisababishi cha ushoga na haiba za kike.
Wewe ni maskini wa fikra hadi mali.
 
Back
Top Bottom