Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
mmH hili neno!. Watuma maana ya vikoba kwanzaSisi tuko watu 10 na kila mmoja anatoa 6m kwa mwezii na baada ya miezi kumi kila mmoja anakuwa amechukua zake x 10
Sasa kama ni aibu basi na iwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmH hili neno!. Watuma maana ya vikoba kwanzaSisi tuko watu 10 na kila mmoja anatoa 6m kwa mwezii na baada ya miezi kumi kila mmoja anakuwa amechukua zake x 10
Sasa kama ni aibu basi na iwe tu
🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha sanaNilipanga ninue rangi tofauti mshahara wa mwezi wa nane ulipotoka , sasa kichekesho ni kuwa ulitoka mshahara ila nilienda mpaka sokoni wanakouza suruali ili walau ninue moja rangi tofauti.
Shida kuna jamaa akasema nisubiri jioni zinakuwepo nyingi nzuri na bei ni ndogo kwa hela yangu naweza kupata hata mbili maana bajeti yangu ilikuwa elfu tano .
Mpka inafika jioni hela yote nilikuwa nimeshampa barmed nilikuwa na elfu mbili hela ya daladala kunifikisha stand ya basi lilipo basi la kwenda kituoni kwangu kulitumikia taifa .
Dada Joannah hili namuomba Mungu nilifanyie kazi bila kuzubaa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mnachanganya kikoba na kausha damu....kikoba hakimlazimishi mtu kununua hisa,ukikwama kuweka umejipoteza mwenyewe sio lazimaOngezea na ni njia moja wapo ambayo ni rahisi ya kupata mbususu zisizo na tracking.
Sawa mwenyekiti wa vicoba mtaa wa tandale tumekusikia.Vicoba siyo vikao vya wanawake, huna uelewa wowote na village community bank.
Vicoba imeasisiwa nchini India na imeleta matokeo chanya kwa both gender.
Hahahaha huyo jamaa sio mfanyabiashara ,itakua hajui kituHawatakiwi sio? 😃
Ila wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Huwezi kuwa mwanaume bila limits
Kwani nimesema mwanaume hatakiwi kuwa na limits?
Si wote Joanah! Huyo jamaa karuka tu na nukuu ya Oscar Oscar. Hajui anachokisema, mhurumie.Ila wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Wanaume wote wanaocheza vicobaIla wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
NdioHivi Joannah na Joanah zote ni zako?
Si wote Joanah! Huyo jamaa karuka tu na nukuu ya Oscar Oscar. Hajui anachokisema, mhurumie.
Umejibu vizuri sana,huyo mpare Robert Heriel Mtibeli anajizima data
Wewe ni maskini wa fikra hadi mali.Wale wanaume wacheza vicoba muda wa umbeya unapoanza na wewe upo? Muda wa kuanza kufata vyombo vya mwajuma baada ya kushindwa kulipa demu na ww unakuwepo? Muda wa kuanza majungu na kusemana na wewe upo ukiinua vidole juu na kucheka kicheko cha kikahaba na wewe upo, unapochambwa kwa kuchelewa kuleta marejesho huwa mnafanyaje.... Dah haya mambo kwa sisi wanaume malijali hii inshu ni ngumu, na kwaninu mwanaume ushindwe kutunza kibunda chako... Vicoba pia vinaweza kuwa kisababishi cha ushoga na haiba za kike.
Kuna Ile Moja eti mwanaume hatakiwi kusalimia "mambo''🤦I know,sio wote Blessed Keinerugaba
Ila wanaume mnakuwaga na vijilimit vya kushangaza
Kuna uzi uliletwa pia wa mwanaume kutumia tiktok nalo ni tatizo 🤦♀️
Kwa hiyo ukiwa mwanaume hupaswi kujiunga VICOBA?Huwezi kuwa mwanaume bila limits
Aache uzwazwa sasa manake ID yake,yako zote ni zangu 🤣Umejibu vizuri sana,huyo mpare Robert Heriel Mtibeli anajizima data
Sawasawa..Aache uzwazwa sasa manake ID yake,yako zote ni zangu 🤣
Kuna Ile Moja eti mwanaume hatakiwi kusalimia "mambo''🤦