Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Hebu elezea vizur mkuu ni mnazikusanya halaf mnakopeshana? Maana ukisema mnakua mnachangiana ni mzunguko wa mwezi had mwezi sasa hela yakufanyia kitu haraka inakuaje hapo au mfano mpo sita na wewe ni wa sita si unasubiri hadi ufikiwe? sasa kusubiri ufikiwe si ungezitunza mwenyewe tu kwa nidham. Kuliko risk za huko maana wabongo tunajuana, Au mimi naelewaje?
Huo ni mchezo bhana, Vicoba ni ile kuweka Hisa, na vingine mtakavyojipangia. Ukipata shida unakopa na mwisho wa mwaka mnagawana chenu.

Ishu sio kinachopatikana mwisho wa mwaka, iishu ni uwezekano wa kukopa na kulipa kwa urahisi.

Benki 3M inanisotesha miaka minne wakati kwenye Vicoba nakopa 3M hata mara nne ndani ya mwaka.

Ni hao watu wa benki ndo wanafungua vinyuzi kudhalilisha vicoba ila sisi huku mtaani vinatusaidia kuliko benki zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni mchezo bhana, Vicoba ni ile kuweka Hisa, na vingine mtakavyojipangia. Ukipata shida unakopa na mwisho wa mwaka mnagawana chenu.

Ishu sio kinachopatikana mwisho wa mwaka, iishu ni uwezekano wa kukopa na kulipa kwa urahisi.

Benki 3M inanisotesha miaka minne wakati kwenye Vicoba nakopa 3M hata mara nne ndani ya mwaka.

Ni hao watu wa benki ndo wanafungua vinyuzi kudhalilisha vicoba ila sisi huku mtaani vinatusaidia kuliko benki zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nitafute muda nijielekeze vizuri sijui wapi nitasoma vizuri niielewe inafanyikaje
 
Upatu ndio vikoba au ina tofauti mbona hamtueleweshi vizuri
Sisi tuko watu 10 na kila mmoja anatoa 6m kwa mwezii na baada ya miezi kumi kila mmoja anakuwa amechukua zake x 10
Sasa kama ni aibu basi na iwe tu [emoji1]
Kama vikoba ina tofauti tuelimishane
Milion 6 embu acha kuwatisha watu hapa ikute unweka elf 6 unasema milion 6

Kwa ujumla vikoba kwa wanaume haijakaa sawa
 
Milion 6 embu acha kuwatisha watu hapa ikute unweka elf 6 unasema milion 6

Kwa ujumla vikoba kwa wanaume haijakaa sawa
Wewe ni mpiga ramli au njaa zinakufanya uwaze kimasikini hivyo
Kama kwako ni hela kubwa sana wengine hiyo tunaenda Majorca kwa wiki 2 na zinaisha

Pole sana najua umasikini ni laana ila pambana mzee 6m nazimudu sana ni £2000 tu
 
Back
Top Bottom