Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kwani mambo Ina tatizo gani shem?Wala sio kazi, ni misingi tu ya kiumeni. Ukiona Kuna mwanaume amekutumia msg "mambo", anza kutilia mashaka haraka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mambo Ina tatizo gani shem?Wala sio kazi, ni misingi tu ya kiumeni. Ukiona Kuna mwanaume amekutumia msg "mambo", anza kutilia mashaka haraka sana
Ipo kwa ajili yenu tuIla wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Imekaa ki kike sanaKwani mambo Ina tatizo gani shem?
ndo ipo hivo, au mniwekee mimiHebu elezea vizur mkuu ni mnazikusanya halaf mnakopeshana? Maana ukisema mnakua mnachangiana ni mzunguko wa mwezi had mwezi sasa hela yakufanyia kitu haraka inakuaje hapo au mfano mpo sita na wewe ni wa sita si unasubiri hadi ufikiwe? sasa kusubiri ufikiwe si ungezitunza mwenyewe tu kwa nidham. Kuliko risk za huko maana wabongo tunajuana, Au mimi naelewaje?
Kina Ngosha wapewe Ulinzi😃😃
...mimi ni msukuma... najua matumiz ya ela pia... Ila sijatumiaga pesa kwa kias kikubwa hovyo...Ubahili muhimu
Tafuta Msukuma wao hawajui Pesa ni nini na inamatumizi gani
Yaani hapana, na ww unaenda kaa kaa vikao na akina mama. Wanaanza kukuona kama mwenzao. Kila kitu muachie ahangaike mkeo. Jiunge ila kwa mgongo wa mkeo.Kwasababu kitamfanya mwanaume ashindwe kusimamisha?
Maana kwa ninavyojua mwanaume mashine 😃
Hii kukopewa na wake ndio naona wengi wanafanya yaani anajiunga kikoba kwa mgongo wa mke wake.Nitakuelewesha vizuri utaelewa achana na mleta mada hajui umuhimu wa vicoba
Kwenye vicoba akiba yako ndio inakubeba kwa mfano umekwama labda una akiba ya mill 3 unaweza kukopa mill 9 kwenye kicoba chetu unakopeshwa mara 3 ya akiba yako
Na wanaume wengi wanakopewa na wake zao
Kicoba kipi hiko mkuu hakina faida kicoba kina faida tena sanaaVicoba, unachangia laki moja end of the day unachukuq ile ile laki moja yako.
Mwanzo nilijua kuna kafaida kumbe ni kuweka pesa tu na mwisho wa siku unachukua ileile hela yako.
Kwangu naonaga hivi vidude havina faida zaidi ya kumtesa mhusika.
Ndio inavyokuwa mkuu kwa baadhi ya wanawakeHii kukopewa na wake ndio naona wengi wanafanya yaani anajiunga kikoba kwa mgongo wa mke wake.
Sio yeye moja kwa moja.
Hapo hata mimi naweza muunga mkono.Ndio inavyokuwa mkuu kwa baadhi ya wanawake
Wewe kenge kaa kimya.Acha maneno mengi wewe. Acha Vicoba mara moja.
Elewa maana ya neno Vicoba
Hawana tabu watu wa Mungu😅😅😅Kina Pascal wao kigezo uweo Mweupe hata wa mkorogo
😅😅😅SawaImekaa ki kike sana
Si huwa mnachangiana pesa then mmoja anachukua?Kicoba kipi hiko mkuu hakina faida kicoba kina faida tena sanaa