Chimbuko la Vicoba ni wanawake wanaotunzana tunzana especially kwenye sherehe sherehe hii Dar imekuepo tangu miaka ya 90' huko Ila washiriki wake ni wanawake wanaume wamevamia tu baada Mambo kubana inabidi utumbukie popote mradi kuna unafuuNahisi kalewa na senti
mitazamo mgando kabisa kuwahi kutokeaDah kwa mitazamo hii kazi ipo
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Chimbuko la Vicoba ni wanawake wanaotunzana tunzana especially kwenye sherehe sherehe hii Dar imekuepo tangu miaka ya 90' huko Ila washiriki wake ni wanawake wanaume wamevamia tu baada Mambo kubana inabidi utumbukie popote mradi kuna unafuu
Tusiwaseme sasaChimbuko la Vicoba ni wanawake wanaotunzana tunzana especially kwenye sherehe sherehe hii Dar imekuepo tangu miaka ya 90' huko Ila washiriki wake ni wanawake wanaume wamevamia tu baada Mambo kubana inabidi utumbukie popote mradi kuna unafuu
Watu wanapigwa faini ukichelewa kupeleka rejesho unakula fine usipohudhuria kikao unapigwa faini ushaelewa sasa hizo ndio zinajaza fuko la Pesa la kikundi hicho cha Vicoba ukiongea na mwekahadhina akukopeshe unakopeshwa Ila lazima urudishe usiporudisha kwa wakati unapigwa faini ukichelewa kurudisha unapigwa fainiHivo vihela vya kujazia kikundi vinatoka sehemu gani mkuu
Kuna Upatu na vicoba. Jua tofauti zake kwanza kabla ya kuropokaChimbuko la Vicoba ni wanawake wanaotunzana tunzana especially kwenye sherehe sherehe hii Dar imekuepo tangu miaka ya 90' huko Ila washiriki wake ni wanawake wanaume wamevamia tu baada Mambo kubana inabidi utumbukie popote mradi kuna unafuu
Kumbe[emoji23],Watu wanapigwa faini ukichelewa kupeleka rejesho unakula fine usipohudhuria kikao unapigwa faini ushaelewa sasa hizo ndio zinajaza fuko la Pesa la kikundi hicho cha Vicoba ukiongea na mwekahadhina akukopeshe unakopeshwa Ila lazima urudishe usiporudisha kwa wakati unapigwa faini ukichelewa kurudisha unapigwa faini
Huwa mnaliwa sana sababu ya vikoba mi mke wangu nilimwambia nikisia vikoba nakunyongaIla wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Acha ujinga, Sasa mwanaume anaanzaje kuwaza marejeshoIla wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Kwani mnazokopaga bank hamrejeshi??Acha ujinga, Sasa mwanaume anaanzaje kuwaza marejesho
Structure yake tofauti na vikobaKwani mnazokopaga bank hamrejeshi??
Kwani unavyo kopa benk marejesho hakuna? Unajua sisi watu weusi tunajikweza na hatuna kitu unakuata mtu kasomweshwa kwa hela ya gongo basi akipata vihela nimasengenyo tu kwa wengine. Kikubwa mtu ni kupambana kukata chain ya umaskini na kikubwa ni kuepuka wizi na dhuluma.Acha ujinga, Sasa mwanaume anaanzaje kuwaza marejesho
Kwani kwenye kicoba kuna kijumbe???Structure yake tofauti na vikoba
Dada Yani nikae na kijumbe kabisa!!!
[emoji419][emoji419]Kwani unavyo kopa benk marejesho hakuna? Unajua sisi watu weusi tunajikweza na hatuna kitu unakuata mtu kasomweshwa kwa hela ya gongo basi akipata vihela nimasengenyo tu kwa wengine. Kikubwa mtu ni kupambana kukata chain ya umaskini na kikubwa ni kuepuka wizi na dhuluma.
Tatizo watu wanachanganyq upatu na vicoba. Vikoba vina utaratibu unaoeleweka na kuna watu wanakopa hadi 20m kwenye vicoba na wanasomesha watoto.Kama unahitaji hela ya kufanyia kitu haraka nafikiri hii ni njia salama kwa wasioamini Riba
Unachukua unafanyia wazo lako halafu unaendelea na mengine
Ila nasema tu kama una shida ya haraka ni salama zaidi haina riba
Kwa kujiwekea mipaka ya hovyo ndio maana tunakufa mapemaNawaza Hapa,
1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.
2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.
3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195