Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Hivo vihela vya kujazia kikundi vinatoka sehemu gani mkuu
Watu wanapigwa faini ukichelewa kupeleka rejesho unakula fine usipohudhuria kikao unapigwa faini ushaelewa sasa hizo ndio zinajaza fuko la Pesa la kikundi hicho cha Vicoba ukiongea na mwekahadhina akukopeshe unakopeshwa Ila lazima urudishe usiporudisha kwa wakati unapigwa faini ukichelewa kurudisha unapigwa faini
 
Watu wanapigwa faini ukichelewa kupeleka rejesho unakula fine usipohudhuria kikao unapigwa faini ushaelewa sasa hizo ndio zinajaza fuko la Pesa la kikundi hicho cha Vicoba ukiongea na mwekahadhina akukopeshe unakopeshwa Ila lazima urudishe usiporudisha kwa wakati unapigwa faini ukichelewa kurudisha unapigwa faini
Kumbe[emoji23],

Na hizo za mfuko si mnagawana
 
Ila wanaume mna limits za kingese

Shida ya vicoba ni ipi
Huwa mnaliwa sana sababu ya vikoba mi mke wangu nilimwambia nikisia vikoba nakunyonga


Mpaka sasa mwaka 12 huu sijamuona

Wanaliwa sana kupata hela ya marejesho
Juzi sista angu kataitiwa laki 5 na ushee rejesho bora akaniambia kaka ake nikaclear vipi angewafata wahuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga, Sasa mwanaume anaanzaje kuwaza marejesho
Kwani unavyo kopa benk marejesho hakuna? Unajua sisi watu weusi tunajikweza na hatuna kitu unakuata mtu kasomweshwa kwa hela ya gongo basi akipata vihela nimasengenyo tu kwa wengine. Kikubwa mtu ni kupambana kukata chain ya umaskini na kikubwa ni kuepuka wizi na dhuluma.
 
Kama unahitaji hela ya kufanyia kitu haraka nafikiri hii ni njia salama kwa wasioamini Riba
Unachukua unafanyia wazo lako halafu unaendelea na mengine
Ila nasema tu kama una shida ya haraka ni salama zaidi haina riba
Tatizo watu wanachanganyq upatu na vicoba. Vikoba vina utaratibu unaoeleweka na kuna watu wanakopa hadi 20m kwenye vicoba na wanasomesha watoto.
 
Nawaza Hapa,

1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.

2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.

3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Kwa kujiwekea mipaka ya hovyo ndio maana tunakufa mapema
 
Back
Top Bottom