Kwakweli, kuna watu wanaweka hisa kila week laki 5,Bora umeelewa Hilo Kuna vicoba wanacheza had million 20 had 30 na vipo wapo wanacheza upatu wengine wananunuliana magari kifupi ni Level ya maisha ulonayo tu sio ishu ya kusema hakina maana
Ongezea na ni njia moja wapo ambayo ni rahisi ya kupata mbususu zisizo na tracking.ni njia nzuri ya kutunza kipato chako na njia rahisi ya kupata mkopo wa haraka
Upo wazi popote alipo mwanamke mpambanaji. Siku hizi vijana wa kiume wanalelewa na kuwekwa ndani na wanawake sababu wanawake wanapambana. Usishangae kukutana na kijana mponda vicoba akiendesha gari la mwanamke wake lililonunuliwa kwa pesa ya kicoba ila yeye hawezi hata kuweka mafuta.Upo vizuri,.nina ushahidi kwa hili ulisemalo.
Id zikiwekwa wazi tutegemee kukutana na matajiri tupu.Hahahahahaha, JF raha sana ,humu watu wanadharau Boda boda ,wanadharau bajaj,wanadharau uber ,wanadharau vicoba..aisee ,
Hahahahaha,kabisa MkuuId zikiwekwa wazi tutegemee kukutana na matajiri tupu.
Umeelezea kitu kingine, hio sio vikoba. Huo ni upatuHebu elezea vizur mkuu ni mnazikusanya halaf mnakopeshana? Maana ukisema mnakua mnachangiana ni mzunguko wa mwezi had mwezi sasa hela yakufanyia kitu haraka inakuaje hapo au mfano mpo sita na wewe ni wa sita si unasubiri hadi ufikiwe? sasa kusubiri ufikiwe si ungezitunza mwenyewe tu kwa nidham. Kuliko risk za huko maana wabongo tunajuana, Au mimi naelewaje?
[emoji419][emoji419]Upo wazi popote alipo mwanamke mpambanaji. Siku hizi vijana wa kiume wanalelewa na kuwekwa ndani na wanawake sababu wanawake wanapambana. Usishangae kukutana na kijana mponda vicoba akiendesha gari la mwanamke wake lililonunuliwa kwa pesa ya kicoba ila yeye hawezi hata kuweka mafuta.
Nilipanga ninue rangi tofauti mshahara wa mwezi wa nane ulipotoka , sasa kichekesho ni kuwa ulitoka mshahara ila nilienda mpaka sokoni wanakouza suruali ili walau ninue moja rangi tofauti.Si ununue ya blue?Huoni kama unachochea dhambi ya usengenyaji?[emoji28][emoji28]
Anyway, nilipokuwepo au ambako bado nipo upatu umebaki upatu. Idea ya vicoba ni idea tofauti na upatu. Halafu umeniita wa 2010 hahaaa inshu ni kuwa wewe umeona vicoba mapema labda ulikuwa village Mimi cooperative unions/ devlommt and the like nimechelewa labda kuziona kulingana na mazingira nimeona sana sana upatu wa akina mama ndiyo maana nasema idea yao ni tofauti na upatu.Hio Michezo ya 'Upatu' imeanza miaka hio mwishoni mwa 80' mwanzoni mwa 90', kilichofanyika ni modifications tu ndio ikaleta neno 'Vicoba' (Village Community Bank) na hio Vicoba ikafanyiwa modifications nayo pia ikaleta 'Saccos' (Savings and Credit Cooperative Societies) Ila washiriki waanzirishi ni Wanawake sio wanaume tena wamekua wakifanya hivyo ili kusaidiana kwenye changamoto mbalimbali zinazowakabiri, wewe mtoto wa 2010 utaelewa nini una miaka 23' mpaka sasa bado una mengi ya kujifunza
Kwa sasa kutokana na ukali wa Maisha kila mtu anashiriki hata kile ambacho hakikua Desturi hapo mwanzo, sio Desturi Mwanamke kuchinja Ila siku hizi wapo wanawake wanachinja kuku, mbuzi, kondoo, Ng'ombe, nk tena bila uoga
Shida ya kuwepo mjini ni ipi?Shida vipo Mjini!
Hawatakiwi sio? 😃Acha ujinga, Sasa mwanaume anaanzaje kuwaza marejesho
Mara ya mwisho ilikuwa inaelekea kuwa benki kabisa.Hivi hichi chama huko Arusha bado kipo. Kilikuwa chama cha marafiki wa kichaga 2009 wanakopeshana.
😂 uzee nilisahau kua nimebonyeza caps lock..vipi hali lakini
Waanzirishi = waanzilishi, zinazowakabiri = zinazowakabili. Wewe jamaa utadhani ni bilionea kumbe ni kenge mmoja anayemiliki smartphoneHio Michezo ya 'Upatu' imeanza miaka hio mwishoni mwa 80' mwanzoni mwa 90', kilichofanyika ni modifications tu ndio ikaleta neno 'Vicoba' (Village Community Bank) na hio Vicoba ikafanyiwa modifications nayo pia ikaleta 'Saccos' (Savings and Credit Cooperative Societies) Ila washiriki waanzirishi ni Wanawake sio wanaume tena wamekua wakifanya hivyo ili kusaidiana kwenye changamoto mbalimbali zinazowakabiri, wewe mtoto wa 2010 utaelewa nini una miaka 23' mpaka sasa bado una mengi ya kujifunza
Kwa sasa kutokana na ukali wa Maisha kila mtu anashiriki hata kile ambacho hakikua Desturi hapo mwanzo, sio Desturi Mwanamke kuchinja Ila siku hizi wapo wanawake wanachinja kuku, mbuzi, kondoo, Ng'ombe, nk tena bila uoga
Basi walipambana.Mara ya mwisho ilikuwa inaelekea kuwa benki kabisa.
Lakini ni hela ya uhakika maana nitapokea wa pili kutoka mwisho.Na wewe si utachangua wengine wapate hizo milion 15
Kabisa mkuu. Umesema kila kitu.Vicoba ni nini?
Vicoba ni Village community bank.
Kwahiyo ukielewa maana ya Vicoba hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kushiriki.
Uongo. Kikoba sio mchezo, kule ni kuweka akiba na kukopa. Na vingine kukopa sio lazima kwa kila mtu.Imetoka na majina mengi sana mpaka kufika kwenye Vicoba Ila ni mchezo wa wanawake wale wanaotunzana mabeseni kwenye shughuli za uswazi wamemodify tu