karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Habari za wakati huu wapendwa.
Naomba nitoe ujumbe mfupi kwa wanaume wote ambao mpo kwenye ndoa na wake zenu na umepata uhamisho au ni mtu ambaye kazi inakuweka bize sana.
Kama umepata uhamisho hama na mkeo ukapange huko huko muishi wote kama n mtu wa safari jitahidi kwa mwezi hata mara 3 ukutane na mkeo sisi vijana wa hovyo tunakula sana wake zenu mkiondoka na matusi juu tunawatukana.
Kuna watu watabisha ila naomba nije na ushuhuda kabisaaa ili muamini.
1)kuna jamaa ni mwanajeshi ni mtu wa kusafiri sana miezi miwili hadi mitatu bila kuonana na mkewe aisee namwambia tu mimi ndio huwa namkatabati mkewe na namfanya atulie kila wiki naenda kwake na namkula mkewe kwenye kitanda chake sijisifu ila mwanamke nae kutokea kunielewa. Halafu mwanamke ni mjanja namkula kila siku ila jamaa amejua kuchagua mwanamke anawatoto watatu ila bado mali inaita kabisaa. Na jamaa amefunga ndoa kabisa halali ila ndio ivyo mimi nimekuwa kitulizo cha mkewe. Huyu nilipomuuliza kaniambia mumewe yupo Bize na kazi hata akirudi hapigi kisawa sawa
2)Huyu mwingine ni mfanyabiashara wa mchele nae anamke si haba namsaidia sana kumtuliza mkewe huyu yeye kapoteza mvuto kwa mkewe anajali biashara zake kuliko furaha ya mkewe. Mwanamke anahangaika tu na mwenyewe namsaidia sijisifu hapana ila nataka mjue kwamba nyege mbaya na hazina mwenyewe. Huyu alipojikoroga zaidi alimuomba mkewe kisamvu cha kopo akanyimwa unyumba hadi leo.
3)kuna mwanajeshi alienda Congo kurudi kakuta mkewe anamimba katika kuuliza mwanamke kafunguka alizidiwa.
Hao ni baadhi tu ila kiukweli wanaume mliooa na mnaotarajia kuingia kwenye ndoa jitahidi kuwa na ukaribu na mkeo hasa kwenye 6×6 ila kama mtapuuzia hilo mtagongewa sana wake zenu na vijana mtaani mabosi zenu au hao mnaowaita marafiki zenu.
Kuoa sio lazima na msiniulize najiamini vipi hadi nakula mke wa mwanajeshi chumbani kwake.
Ila wanaume mjifunze kama umepata uhamisho hama nae vinginevyo mtalea watoto sio wenu kila siku.
Yangu ni hayo mkinichongea kwa mwanajeshi aweke fumanizi poa tu.
Naomba nitoe ujumbe mfupi kwa wanaume wote ambao mpo kwenye ndoa na wake zenu na umepata uhamisho au ni mtu ambaye kazi inakuweka bize sana.
Kama umepata uhamisho hama na mkeo ukapange huko huko muishi wote kama n mtu wa safari jitahidi kwa mwezi hata mara 3 ukutane na mkeo sisi vijana wa hovyo tunakula sana wake zenu mkiondoka na matusi juu tunawatukana.
Kuna watu watabisha ila naomba nije na ushuhuda kabisaaa ili muamini.
1)kuna jamaa ni mwanajeshi ni mtu wa kusafiri sana miezi miwili hadi mitatu bila kuonana na mkewe aisee namwambia tu mimi ndio huwa namkatabati mkewe na namfanya atulie kila wiki naenda kwake na namkula mkewe kwenye kitanda chake sijisifu ila mwanamke nae kutokea kunielewa. Halafu mwanamke ni mjanja namkula kila siku ila jamaa amejua kuchagua mwanamke anawatoto watatu ila bado mali inaita kabisaa. Na jamaa amefunga ndoa kabisa halali ila ndio ivyo mimi nimekuwa kitulizo cha mkewe. Huyu nilipomuuliza kaniambia mumewe yupo Bize na kazi hata akirudi hapigi kisawa sawa
2)Huyu mwingine ni mfanyabiashara wa mchele nae anamke si haba namsaidia sana kumtuliza mkewe huyu yeye kapoteza mvuto kwa mkewe anajali biashara zake kuliko furaha ya mkewe. Mwanamke anahangaika tu na mwenyewe namsaidia sijisifu hapana ila nataka mjue kwamba nyege mbaya na hazina mwenyewe. Huyu alipojikoroga zaidi alimuomba mkewe kisamvu cha kopo akanyimwa unyumba hadi leo.
3)kuna mwanajeshi alienda Congo kurudi kakuta mkewe anamimba katika kuuliza mwanamke kafunguka alizidiwa.
Hao ni baadhi tu ila kiukweli wanaume mliooa na mnaotarajia kuingia kwenye ndoa jitahidi kuwa na ukaribu na mkeo hasa kwenye 6×6 ila kama mtapuuzia hilo mtagongewa sana wake zenu na vijana mtaani mabosi zenu au hao mnaowaita marafiki zenu.
Kuoa sio lazima na msiniulize najiamini vipi hadi nakula mke wa mwanajeshi chumbani kwake.
Ila wanaume mjifunze kama umepata uhamisho hama nae vinginevyo mtalea watoto sio wenu kila siku.
Yangu ni hayo mkinichongea kwa mwanajeshi aweke fumanizi poa tu.