Wanaume mnaojifanya mpo bize sana na kazi mnagongewa sana wake zenu

Wanaume mnaojifanya mpo bize sana na kazi mnagongewa sana wake zenu

Jitahidi sana kutembea na K-Y, maana any time utatiwa nguvuni, Wanaume km wanne hivi wenye misuri na nyege watakushughulikia kisawasawa.Maana Siku za mwizi ni arobaini.Yashike sana maneno Yangu, utakuja kunishukuru.
 
Sasa unatakaje? Kila mwanaume aache kazi akae na mke wake ndani.

Maisha ni very complex, huwezi kufanya kila kitu kwa balance sawa. Ila nikiambia kati ya mwanamke na kutafuta maisha, nitachagua kutafuta maisha. Wanawake hawajawahi kuisha, ila nguvu za kutafuta zinaisha.
 
Umenena mkuu
Sasa unatakaje? Kila mwanaume aache kazi akae na mke wake ndani.

Maisha ni very complex, huwezi kufanya kila kitu kwa balance sawa. Ila nikiambia kati ya mwanamke na kutafuta maisha, nitachagua kutafuta maisha. Wanawake hawajawahi kuisha, ila nguvu za kutafuta zinaisha.
 
Hahahahaa

Huu ni mfano hai kwanini mwanaume akikosa malengo na kushindwa ku compete na wanaume wenzie kwenye mambo ya msingi atafanya hivyo kwenye mambo ya kijinga.

Mtu km huyu mnaweza kukaa nae sehemu akaanzisha story jinsi anavyof*ra wanawake akidhani hapo ndo ataonekana kidume.Wakati wanaume wengine wapo busy namna ya kushindana kwenye maisha

Zamani mwanamke wote walikuwa chombo cha starehe siku hizi mwanamke malaya ni chombo starehe.Jamaa kaoa malaya na malaya ni chombo cha starehe sasa kuna shida gani hapo??Halafu nini kipya kwenye kut*mba??zaidi ya kuboost ego yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sio upande wa mwanaume tu hata kwa wanawake ambao wapo care na wenziwao hii kugongewa au kuchukuliwa bwanah uwa hainaga kikomo hata uwe bize nae kiasi gani? Watu watapita nae na swafi tu hata usijali MKUU.. umpe dk tano tu ukiacha hayo masaa 23;55 ambayo una mjali na kumdekeza hizo dk tano zitatosha
 
Kuna mahali nimeandika jinsia?
Nilichoandika nimeandika kwa wote, i dont care about jinsia
Wmbu soma vizuri before reply
Nimerefer wengi wanaosemaga kuchepuka kwa mwanaume ni nature yao wameumbwa hivyo. Sio wewe umesema
 
Nimerefer wengi wanaosemaga kuchepuka kwa mwanaume ni nature yao wameumbwa hivyo. Sio wewe umesema
Umerefer to a wrong person. Binafsi sina hiyo vision or that type of ideas
 
Sometimes it's not a choice, Mazingira yanaweza kushawishi mtu ambaye hakuwahi kukusudia kuchepuka akachepuka. Anguko la dhambi wakati mwingine huletwa na mazingira magumu yanayoku_subject kwenye kutenda dhambi hiyo. Dawa kubwa ni kuwa mbali na mazingira hayo, ikiwemo mwenza kutimiza mahitaji ya kingono, kuwa karibu na mwenza hata unapokuwa mbali.
Adam alipomwacha Hawa dakika chache tu nyoka akafanya yake
 
Hakuna cha tabia hapo nyege mbaya kuchepuka sio tabia yan ukiona mtu anachepuka hebu anza kuchunguza kuanzia ndani kwenye ndoa lazima kuna chanzo
Sasa unafaidi kitu gani?
Nyege zimewahi kuwa na shukrani?
K ukiila inaukumbusho gani wa kudumu unao onekana?
Jamii iliwahi kumsifia au kumheshimu mla k nyingi?
Zaidi unaishi kwa hofu na usipoangaliabipo siku unabakwa na waume zao.

Kaa tulia na k yako hata kama ina sura mbaya..
Vitu vyote ni ubatili na kujilisha upepo
 
Back
Top Bottom