sasa kwa sababu ya mwanamke wake anatulazimisha na sisi tuwaponde wa kwetu??Wewe ni mtu dhaifu. Kuanzisha mada yoyote ya kuwaponda wanawake ni udhaifu usioelezeka. Mwanamke ni pambo na kiumbe dhaifu hivyo kumponda au kubishana naye sana ni sawa ni kujiunga naye kwenye udhaifu wake. NAWASIHI WANAUME WOTE WA JF TUKAE KIMYA DAKIKA MOJA KUMWOMBEA MKE/MPENZI WA MLETA UZI KWA SABABU YUKO NA MWANAUME MWENYE GUBU.
Kwa hiyo kuwaambia waache umalaya ili wasiwe masingle mother ni kuwadhalilisha?Kwanini unataka tuchekelee maovu na ujinga mnaosema kwa
Dada zetu
Mama zetu
Shangazi zetu
Na kina dorry kwa ujumla
Wee mkuu una shida itakua umeachwa wewe acha kisirani alaaah..
Mimi ni mmoja wapo ambao nawatetea sana hawa watu ila kwa nilichofanyiwa juzi cha kupuliziwa dawa ndani nusu ya kufa ..
Acha niseme ukweli hawa watu ni wauwaji full stop
Nikuulize, Kwenye maisha yako, pesa ukipata anafaidika nazo nani zaidi kati ya mwanamke na mwanaume na kwanini?Kila jinsia ipambane na hali yake mbona wanawake huwa hawajishughulishi na matatizo yetu?
Sasa mkuu hawo wanawake ndio wake zetu, ndio wapenzi wetu wanatupa utamu, unataka tuwaponde tuwakandamize huo utamu utatupa wewe? Mbona penye madhaifu wanaambiwa sana au haujakutana na nyuzi za Singo mazaz?, penye mazuri waambiwe pia, wanatuzalia watoto wazuri tunazunguka mtaani kifua mbele tukiitwa akina baba ni kwa sababu yao hao hao unaotaka tuwaseme vibaya.
Kama kuna aliyekutenda mseme huyo huyo usituhamasishe au kutulaumu wakati tunapendwa na hao hao wanawake wazuri au KENZY nasema uongo?
Hakuna aliye sema uwaponde bali nawasema midume inayo kuja kutetea makosa yanayo fanywa na wanawake.Sasa mkuu hawo wanawake ndio wake zetu, ndio wapenzi wetu wanatupa utamu, unataka tuwaponde tuwakandamize huo utamu utatupa wewe? Mbona penye madhaifu wanaambiwa sana au haujakutana na nyuzi za Singo mazaz?, penye mazuri waambiwe pia, wanatuzalia watoto wazuri tunazunguka mtaani kifua mbele tukiitwa akina baba ni kwa sababu yao hao hao unaotaka tuwaseme vibaya.
Kama kuna aliyekutenda mseme huyo huyo usituhamasishe au kutulaumu wakati tunapendwa na hao hao wanawake wazuri au KENZY nasema uongo?
Huwezi kumsifia mpenzi wako anapofanya vizuri?Hakuna aliye sema uwaponde bali nawasema midume inayo kuja kutetea makosa yanayo fanywa na wanawake.
Hivi umeisoma mada na kuielewa kweli mkuu?Huwezi kumsifia mpenzi wako anapofanya vizuri?
Mkuu usikwazike na furaha ya mtu mwingine...Kwa hiyo kuwaambia waache umalaya ili wasiwe masingle mother ni kuwadhalilisha?
Kuwaambia wanawake waache kutumia uchi wao kama chanzo cha mapato badala yake wafanye kazi zingine ni kuwadhalilisha?
Yaani kwenye kufanya upuuzi una watetea ila matokeo ya upuuzi wao mnalazimisha na sisi tuyabebe?
Mkuu unajitambua wwKwa hiyo kuwaambia waache umalaya ili wasiwe masingle mother ni kuwadhalilisha?
Kuwaambia wanawake waache kutumia uchi wao kama chanzo cha mapato badala yake wafanye kazi zingine ni kuwadhalilisha?
Yaani kwenye kufanya upuuzi una watetea ila matokeo ya upuuzi wao mnalazimisha na sisi tuyabebe?
I concour, shetani aliona nini kwa mwanamke mpaka akaongee naye? Je, mwanamke hakuogopa kuongea na shetani kabisa? Aliwezaje kuthubutu kuzungumza nae? Hapana aiseee.Za ndani kabisa shetani na mwanamke ni ma BFF
Mambo gani unayafanya yasiyomhusisha mwanamke yanakufanya uone unazifaidi wewe mwenyewe?Ninazifaidi mimi mwenyewe nilie zitafuta.
Kallishi na wanawake kwa akili maana ni viumbe wanaorubunika kirahisi.Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.
Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.
Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?
Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.
Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?
Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?
Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.
Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.
Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?
%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.
Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?
Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?
Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.
Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.
Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Mwanamke ndio kiumbe pekee mwenye uwezo wa kuzungumza na nyoka πΉ kwahiyo mkae mbali πI concour, shetani aliona nini kwa mwanamke mpaka akaongee naye? Je, mwanamke hakuogopa kuongea na shetani kabisa? Aliwezaje kuthubutu kuzungumza nae? Hapana aiseee.
Kwani mkuu nikitafuta pesa nika nunua nguo nzuri ninakuwa sijazifaidi pesa zangu?Mambo gani unayafanya yasiyomhusisha mwanamke yanakufanya uone unazifaidi wewe mwenyewe?
Hasahasa wamachame, yamkini hata Hawa alikuwa mmchame.Mwanamke ndio kiumbe pekee mwenye uwezo wa kuzungumza na nyoka πΉ kwahiyo mkae mbali π
Braza kwahiyo unaonea wivu wanawake kutetewa?Ndo maana tuna waambia maboya humu waache kujifanya kuwajua na kuwatetea maana wanajijua wenyewe.
Ukajenga nyumba yako, ndani ukaweka 65 ya Hisense au Samsung huku una OKwani mkuu nikitafuta pesa nika nunua nguo nzuri ninakuwa sijazifaidi pesa zangu?
Nikipata pesa nika nunua chakula kizuri sijazifaidi pesa zangu?
Nikipata pesa nikanunua gari kwa ajili ya usafiri ninakuwa sijazifaidi pesa,ila mpaka na mwanamke ahusike?