Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Kwa hiyo kuwaambia waache umalaya ili wasiwe masingle mother ni kuwadhalilisha?
Kuwaambia wanawake waache kutumia uchi wao kama chanzo cha mapato badala yake wafanye kazi zingine ni kuwadhalilisha?

Yaani kwenye kufanya upuuzi una watetea ila matokeo ya upuuzi wao mnalazimisha na sisi tuyabebe?
Hizo mimba wanajipa wenyewe? Ndugu ITR kama kuna manzi kakuzingua mpotezee. Mwanaume halisi ni kawaida kupitia misukosuko inayosababishwa na mwanamke mara mojamoja.
 
Hivi umeisoma mada na kuielewa kweli mkuu?
Kusifia na kutetea ni vitu viwili tofauti kabisa mfano mtu unaweza kumtetea mtu kama ana onewa hapo uko sahihi.
Tatizo ni pale baadhi ya wanaume wanapo watetea hata wanapo fanya mambo ya kipuuzi.
huwezi kumtetea mwanao hata kama kweli amekosea ili kumnusuru na adhabu ambayo imeandaliwa mbele yake? Haujawah tetewa katika hali ambayo unajua kabisa umekosea na kama kuna adhabu unapaswa kupewa ila kwa sababu ya utetezi unapona haujawah kukutana na hayo mazingira?
 
Kwani mkuu nikitafuta pesa nika nunua nguo nzuri ninakuwa sijazifaidi pesa zangu?
Nikipata pesa nika nunua chakula kizuri sijazifaidi pesa zangu?
Nikipata pesa nikanunua gari kwa ajili ya usafiri ninakuwa sijazifaidi pesa,ila mpaka na mwanamke ahusike?
Haya maneno sio rahisi kusemwa na Mwanaume rijali ambaye anazo nguvu zote,
Dushe likisha simama,hizo nguo,Gari utaona ni takataka tu,

Kichwa cha chini kikiamka basi kichwa cha juu huacha kufanya kazi,
Sijui umri wako wala siyajui yaliyokufika,ila ukipumzika hasira zitaisha tu.
 
Sasa mkuu hawo wanawake ndio wake zetu, ndio wapenzi wetu wanatupa utamu, unataka tuwaponde tuwakandamize huo utamu utatupa wewe? Mbona penye madhaifu wanaambiwa sana au haujakutana na nyuzi za Singo mazaz?, penye mazuri waambiwe pia, wanatuzalia watoto wazuri tunazunguka mtaani kifua mbele tukiitwa akina baba ni kwa sababu yao hao hao unaotaka tuwaseme vibaya.

Kama kuna aliyekutenda mseme huyo huyo usituhamasishe au kutulaumu wakati tunapendwa na hao hao wanawake wazuri au KENZY nasema uongo?
Mkuu kila kitu ki play part yake, sehemu ya ubaya watasemwa na sehemu ya uzuri watasemwa pia!.
japo mimi binafsi sipendi sana kulalamika kuhusu wanawake ila kimatendo!. mkuu sitaki kufika mbali huu uzi ni wa watoto.😁
 
Waowekabisa ili tujue unamaanisha.
siwezi kuwaoa.........

Ulimpenda single maza ukifikiri hutoombwa bills?

Ulimpenda ukifikiri ndo umefika mwisho na kutembea huwezi?

Ulimzalisha ukiwa huna nguvu ya kumshawishi mkeo una mtoto nje ya ndoa ukitegemea huyo mtoto ataenda wapi ?

Unachukia single maza alikuwekea sumu kwenye chakula ?
 
Hizo mimba wanajipa wenyewe? Ndugu ITR kama kuna manzi kakuzingua mpotezee. Mwanaume halisi ni kawaida kupitia misukosuko inayosababishwa na mwanamke mara mojamoja.
Hivi kwenye mada nzima kuna sehemu inayo onesha kuwa nimezenguana na manzi ndio maana naandika haya,mbona unataka kutoka kwenye lengo la uzi?
Mimi nimeongelea watu kama nyinyi mnao watetea wanawake hata wanapo fanya mambo yasiyo kuwa sahihi.
Kwenye kupongezwa watapongezwa lakini wakizingua tukiwapiga sipana mnaaza kutuita wavulana na eti hatuheshimu wanawake.
 
Haya maneno sio rahisi kusemwa na Mwanaume rijali ambaye anazo nguvu zote,
Dushe likisha simama,hizo nguo,Gari utaona ni takataka tu,

Kichwa cha chini kikiamka basi kichwa cha juu huacha kufanya kazi,
Sijui umri wako wala siyajui yaliyokufika,ila ukipumzika hasira zitaisha tu.
Hakuna chochote kilicho nikuta bali nawachana nyinyi midume mnao jipendekeza kwa mamanzi.
Moja wapo ya dalili za mwanaume kuwa dhaifu ni kuendeshwa na nyege badala ya akili.
 
Back
Top Bottom