Wanaume mnaojipodoa mnaupiga mwingi!

Wanaume mnaojipodoa mnaupiga mwingi!

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Members wote nawasalimu katika jina la JF,

Kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "Wanaume orignal tumebaki wachache" hii ina ka ukweli.

Huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa sasa nao pia wanataka kuwa "Warembo"

Baada ya dada zetu kusema wanapenda wanaume ma handsome, (achana na wenye hela) vijana wakaona isiwe shida:

Sasa;
~ Wanatumia zile dawa za nywele aina zote (zikiwemo zile za kufanya kamtelezo fulani, mimi sijui jina lake).
~ Wanatumia zile dawa za kupaua uso (zinazoleta uzungu flani).
~ Haya marosheni ya kufanya ninini n.k.

Kijana jiamini wewe! Acha kuwa "Kijana wa hovyo" kama anavyosema mdau mwingne wa hapa JF.

Neno "Tafuta pesa" hapa lisitumike kwa sababu wapo vijana wana pesa lakini na wao...

Aisee inaskitisha! Kuanzia leo "Jiamini"
 
Members wote, nawasalimu ktk jina la JF

kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "wanaume orignal tumebaki wachache"
hii ina ka ukweli.

huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa sasa nao pia wanataka kuwa "warembo"

baada ya dada zetu kusema wanapenda wanaume ma handsome, (achana na wenye hela)
vijana wakaona isiwe shida:
sasa
~wanatumia zile dawa za nywele aina zote (zikiwemo zile za kufanya kamtelezo flani, mm sijuwi jina lake)
~wanatumia zile dawa za kupaua uso (zinazoleta uzungu flani)
~haya marosheni ya kufanya ninini n.k

kijana jiamini wewe!
acha kuwa "kijana wa hovyo" kama anavyosema mdau mwingne wa hapa jf

neno "tafuta pesa" hapa lisitumike kwa sababu wapo vijana wana pesa lakini nawao...

aisee inaskitisha! Kuanzia leo "jiamini"
Wakiwazidi dada zao kwa Urembo tunawaloweka n hiv idad ya wanaume ni chache
 
giphy.gif
 
Wewe endelea kunuka kama Beberu, hao vijana wasafi ndio wanaokumbatia wake zenu
Muelewe mleta mada kamaanisha wanaume nao wanajipodoa kama wanawake hali hii inapelekea wanaume kwa wanaume kutamaniana coz kuna wanaume warembo + kujipodoa=ushoga
 
Muelewe mleta mada kamaanisha wanaume nao wanajipodoa kama wanawake hali hii inapelekea wanaume kwa wanaume kutamaniana coz kuna wanaume warembo + kujipodoa=ushoga
Hayo ya Wanaume kutamaniana na Ushoga umeyaweka wewe, wala usimlishe maneno mtoa mada,

Akili yako inawaza ufirauni tu, kweli mitandao inaharibu wengi
 
Members wote, nawasalimu ktk jina la JF

kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "wanaume orignal tumebaki wachache"
hii ina ka ukweli.

huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa sasa nao pia wanataka kuwa "warembo"

baada ya dada zetu kusema wanapenda wanaume ma handsome, (achana na wenye hela)
vijana wakaona isiwe shida:
sasa
~wanatumia zile dawa za nywele aina zote (zikiwemo zile za kufanya kamtelezo flani, mm sijuwi jina lake)
~wanatumia zile dawa za kupaua uso (zinazoleta uzungu flani)
~haya marosheni ya kufanya ninini n.k

kijana jiamini wewe!
acha kuwa "kijana wa hovyo" kama anavyosema mdau mwingne wa hapa jf

neno "tafuta pesa" hapa lisitumike kwa sababu wapo vijana wana pesa lakini nawao...

aisee inaskitisha! Kuanzia leo "jiamini"
Huu uzi unamhusu nabii mkuu jeo dev pamoja na pm katelefoni, naomba uwatag wapate ujumbe
 
Back
Top Bottom