Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Hili ni shambulio la aibuWewe endelea kunuka kama Beberu, hao vijana wasafi ndio wanaokumbatia wake zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni shambulio la aibuWewe endelea kunuka kama Beberu, hao vijana wasafi ndio wanaokumbatia wake zenu
Huu uongo, mwanaume kumtamani mwanaume mwenzako haiwezekani, hata kama kajipodoa vipi. Yani haiwezekani na kama unaona inawezekana kwako basi jua Uzi wako ni mwembamba wakua SHOGA, Ukikatika unakua SHOGA . [emoji48][emoji706]Muelewe mleta mada kamaanisha wanaume nao wanajipodoa kama wanawake hali hii inapelekea wanaume kwa wanaume kutamaniana coz kuna wanaume warembo + kujipodoa=ushoga
Duu! Hii ni habari sana. Wanaume wanajipodoa kama wanawake!
Nisaidie kufanya hvo mkuu!Huu uzi unamhusu nabii mkuu jeo dev pamoja na pm katelefoni, naomba uwatag wapate ujumbe
Nisaidie kufanya hvo mkuu!
Kujipodoa na usafi havihusiani!Lkn point ya huhakika ni kwamba sio sahihi mwanaume kujipodoa, the way wanawake wanafanya. Lakini tukiingia kwenye swala la Utanashati, mwanaume lazma uwe mtanashati ukisema eti hata mafuta hupaki kwamba ndio symbol ya uanaume wako, Bro unakua unazingua MADEM hawapendi uchafu unless utumie mzizi wa mganga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mwingi@gmai.com!Eti wanaupiga mwingi
ahahahah Robot la Matope!!Uzi bila picha ni UZUSHIView attachment 2431965
Kuna utofauti mkubwa kati ya kuwa Safi, smart na kujipodoa.Wewe endelea kunuka kama Beberu, hao vijana wasafi ndio wanaokumbatia wake zenu
safi!Mwanaume kwnz unatakiw kuwa na mafuta ya aina moja tuh
Huu ndio ukweli!Kuna utofauti mkubwa kati ya kuwa Safi, smart na kujipodoa.
U smart ndio usafi na usafi ni pamoja na kunukia vizuri, kutunza ngozi yako, n.k ambapo nyie wanuka vibeberu mnasema wanajipodoaKuna utofauti mkubwa kati ya kuwa Safi, smart na kujipodoa.
Yaani hata aibu huoni,Huu ndio ukweli!
waweza kujipodoa, bado ukawa mchafu!
asante sana
Yaani sio uzi mwembamba huo ni Ushoga wa wazi wazi, huwezi mtamani kidume mwenzio kisa amejiremba na kujipodoa, mbona wanawake hawatamaniani wakijipodoa [emoji848]Huu uongo, mwanaume kumtamani mwanaume mwenzako haiwezekani, hata kama kajipodoa vipi. Yani haiwezekani na kama unaona inawezekana kwako basi jua Uzi wako ni mwembamba wakua SHOGA, Ukikatika unakua SHOGA . [emoji48][emoji706]
Na wanajua kurembua na kuramba lips zao kuliko pisi kaliMembers wote, nawasalimu ktk jina la JF
kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "wanaume orignal tumebaki wachache"
hii ina ka ukweli.
huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa sasa nao pia wanataka kuwa "warembo"
baada ya dada zetu kusema wanapenda wanaume ma handsome, (achana na wenye hela)
vijana wakaona isiwe shida:
sasa
~wanatumia zile dawa za nywele aina zote (zikiwemo zile za kufanya kamtelezo flani, mm sijuwi jina lake)
~wanatumia zile dawa za kupaua uso (zinazoleta uzungu flani)
~haya marosheni ya kufanya ninini n.k
kijana jiamini wewe!
acha kuwa "kijana wa hovyo" kama anavyosema mdau mwingne wa hapa jf
neno "tafuta pesa" hapa lisitumike kwa sababu wapo vijana wana pesa lakini nawao...
aisee inaskitisha! Kuanzia leo "jiamini"
Ukizeeka ndio utajua umuhimu wa kutunza ngozi yako lakini utakua umeshachelewa halafu wa rika lako uliokua unawashangaa wanajipaka vipodozi wanapendeza nyuso zao hazina makunyanziWapo wengi tu, huyu da dream anasema et ndio usafi!
usafi wa kubadili nature yako?!