Wanaume mnaojipodoa mnaupiga mwingi!

Wanaume mnaojipodoa mnaupiga mwingi!

Muelewe mleta mada kamaanisha wanaume nao wanajipodoa kama wanawake hali hii inapelekea wanaume kwa wanaume kutamaniana coz kuna wanaume warembo + kujipodoa=ushoga
Huu uongo, mwanaume kumtamani mwanaume mwenzako haiwezekani, hata kama kajipodoa vipi. Yani haiwezekani na kama unaona inawezekana kwako basi jua Uzi wako ni mwembamba wakua SHOGA, Ukikatika unakua SHOGA . [emoji48][emoji706]
 
Duu! Hii ni habari sana. Wanaume wanajipodoa kama wanawake!
images (88).jpeg
 
Lkn point ya huhakika ni kwamba sio sahihi mwanaume kujipodoa, the way wanawake wanafanya. Lakini tukiingia kwenye swala la Utanashati, mwanaume lazma uwe mtanashati ukisema eti hata mafuta hupaki kwamba ndio symbol ya uanaume wako, Bro unakua unazingua MADEM hawapendi uchafu unless utumie mzizi wa mganga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lkn point ya huhakika ni kwamba sio sahihi mwanaume kujipodoa, the way wanawake wanafanya. Lakini tukiingia kwenye swala la Utanashati, mwanaume lazma uwe mtanashati ukisema eti hata mafuta hupaki kwamba ndio symbol ya uanaume wako, Bro unakua unazingua MADEM hawapendi uchafu unless utumie mzizi wa mganga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujipodoa na usafi havihusiani!

asante kwa mchango wako
 
Huu uongo, mwanaume kumtamani mwanaume mwenzako haiwezekani, hata kama kajipodoa vipi. Yani haiwezekani na kama unaona inawezekana kwako basi jua Uzi wako ni mwembamba wakua SHOGA, Ukikatika unakua SHOGA . [emoji48][emoji706]
Yaani sio uzi mwembamba huo ni Ushoga wa wazi wazi, huwezi mtamani kidume mwenzio kisa amejiremba na kujipodoa, mbona wanawake hawatamaniani wakijipodoa [emoji848]
 
Members wote, nawasalimu ktk jina la JF

kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "wanaume orignal tumebaki wachache"
hii ina ka ukweli.

huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa sasa nao pia wanataka kuwa "warembo"

baada ya dada zetu kusema wanapenda wanaume ma handsome, (achana na wenye hela)
vijana wakaona isiwe shida:
sasa
~wanatumia zile dawa za nywele aina zote (zikiwemo zile za kufanya kamtelezo flani, mm sijuwi jina lake)
~wanatumia zile dawa za kupaua uso (zinazoleta uzungu flani)
~haya marosheni ya kufanya ninini n.k

kijana jiamini wewe!
acha kuwa "kijana wa hovyo" kama anavyosema mdau mwingne wa hapa jf

neno "tafuta pesa" hapa lisitumike kwa sababu wapo vijana wana pesa lakini nawao...

aisee inaskitisha! Kuanzia leo "jiamini"
Na wanajua kurembua na kuramba lips zao kuliko pisi kali
 
Wapo wengi tu, huyu da dream anasema et ndio usafi!
usafi wa kubadili nature yako?!
Ukizeeka ndio utajua umuhimu wa kutunza ngozi yako lakini utakua umeshachelewa halafu wa rika lako uliokua unawashangaa wanajipaka vipodozi wanapendeza nyuso zao hazina makunyanzi
 
Back
Top Bottom