Wanaume mnaopenda Mpira

Wanaume mnaopenda Mpira

Whaaaaaaaaaaaaaat a goooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaal ....


Husna shemeji wacha kabisa ....mbunye ipo ila mpira achana nao ...utanunaa yataishaa ila kuadithiwa hapana .....
 
Uzuri mechi nyingi haziwagi wakati Wa swala.....na hata kama mida itagonga, swala ski 15 zinatosha wakati mpira ni karibu masaa mawili kwahiyo una swali alafu unarudi mpirani
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji106]
 
Mpaka anaolewa alikuwa hujui kama jamaa ni mpenda mpira??? Pambana na hali yako!!

Yaani unaolewa utafikili umelazimishwa na wazazi kumbe umechagua wewe mwenyewe na unamjua tabia zake usizozipenda!! pambana na hali yako!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Lioneee[emoji57] [emoji57]
Yaaaaah ....

yaan mpira nimekua nao tangu nikiwa chekecheaa sasa iweje nikutane na wewe mfano lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23] nikiwa na na umri huu alafu eti nisishabikie mpira ....si ntaenda motoni kabisa

Nafsi kwanza
 
Mmh!!humo kwenye kelele kuna wengine wanabishanaga mpaka wanataka kutiana mkononi

Aisee...!!!! Mara paaaaaaaapu duniani hakuna mchezo wa soccer HV mthamia mars au Pluto?!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ahahaah. ndiyo raha yake ya kuwekena mkono. lazima upate cha kusimulia kesho. Kubwa zaidi, katika yote, midadi ya kukosa goli katika timu pinzani, asikwambie mtu midadi yake. vyupa vinapata shida kwenye tiles, mara paaaaa.
 
Back
Top Bottom