Wanaume mnaopenda Mpira

[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Yaani tukinywa pombe mnalalamika, tukiangalia mpira mnalalamika duuh...[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mnataka weekend tushinde tunashikana tu
No way!!!

sent from iphone 7 using Jamii forum mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Katika vitu ambavyo wanaume tunafanya na hatupati dhambi ni pamoja na kuangalia mpira

Utakataza vyote lakini sio mpira.
Bora hata pombe tunaweza kuacha lakini sio mpira, unatwanga upepo kwy kinu.
Mpira unaweza kukupelekea kufanya dhambi mfano we ni muislam swala inaweza kukupita kwa kunogewa na mpira tu

Hivyo vitu vinatokea mkuu
 
Mleta mada umeamsha dude yaaan
Courtois
Azp
Luiz
Cahil
Moses
Kante
Bakayoko
Alonso
William
Hazard
Morata
Weleteeeeeeeeeeeee keshioooooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…