double click
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 569
- 949
bro ukimwi upo kila mahali pia kumbuka hawa walioko kitaa ndio hawa hawa walioko JfUnapokutana nao ukumbuke kuvaa kondomu, wengi wao pia wanasemekana afya zao sio rafiki.
πππNilikuwa nazama zama PM kipindi cha nyuma, ila nilikutana na memba m1 hvi kweny miadi ya kuonana.
Toka siku hiyo nimesitisha, Aisee muonekano 0
sitaki kukutana na kituko tena
Wewe unaona pisi ipo jf na ni mchangiaji kila siku,unategemea iwe pisi kali tangu lini.Pisi nyingi za jf ni jobless,marriageless na beautyless
Nimepiga dislike kila comment zake. Nimepiga dislike kama 100 hivi.Huyu tunarara naye mbereeeee..!!1
Alafu hao wa tiktok ndo sisi tuko huku π π πNiliwahi kuwasema nikapigwa ban , ukweli Ni kwamba hakuna mwanamke mzuri yupo huku ,, wanawake wazuri wako tiktok huko insta ,, ukishakuwa mwanamke huku kwenye jf garage Mara muda WOTE anachangia Amini nakwambia Ni beautyless , single mothers na over age
Hizi tabia za kusengenyana, mimi nilijua walikuwa nazo wadada ila kwasisi wanaume, huku mbali sasa. Kama ulikataliwa siunajikataa kiume, mwanamke anakuwa affected sana na mitandao kuliko hata sauti yake tuachage uchuro.Niliwahi kuwasema nikapigwa ban , ukweli Ni kwamba hakuna mwanamke mzuri yupo huku ,, wanawake wazuri wako tiktok huko insta ,, ukishakuwa mwanamke huku kwenye jf garage Mara muda WOTE anachangia Amini nakwambia Ni beautyless , single mothers na over age
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nimeangalia avatar yako, yaliyopita mawazoni mwangu, kweli tuna mambo
ππππ π’π§ππ¨π§ππ€ππ§π π°ππ°π π§π’ π©π’π¬π’ π€ππ₯π’. πΉπππππ πππππππππ πππ ππππππ ππππ ππππππππ βΊ[emoji1787] Kwahiyo unatushaurije sasa hivi sura zetu za baba halafu tuweke avatar mbaya hapana kwakweli pisi kali kazifate tu insta huku tumebaki mashangazi yako
[emoji1787] Kwahiyo unatushaurije sasa hivi sura zetu za baba halafu tuweke avatar mbaya hapana kwakweli pisi kali kazifate tu insta huku tumebaki mashangazi yako
Hizi tabia za kusengenyana, mimi nilijua walikuwa nazo wadada ila kwasisi wanaume, huku mbali sasa. Kama ulikataliwa siunajikataa kiume, mwanamke anakuwa affected sana na mitandao kuliko hata sauti yake tuachage uchuro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu hao wa tiktok ndo sisi tuko huku π π π
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wewe unaona pisi ipo jf na ni mchangiaji kila siku,unategemea iwe pisi kali tangu lini.Pisi nyingi za jf ni jobless,marriageless na beautyless
Kwani uwongo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
π π π π angalia at your own riskHv mnajuaje huyu ni mwanaume na huyu ni mwanamke maana michoko ipo mingi sana humu