Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Picha yake haina hadhi ya kukaa kwenye simu yangu, ni mbovu mnooo. Umewahi kuangalia ile movie ya wrong turn? Basi ndio kama yule

[emoji1787][emoji1787] wewe unaniwaza sana njoo pm nikupe account zangu zote ukajionee mali safi acha kujijengea picha za kutisha boya wewe
 
Gari bovu halisukumwi na bovu. Yeye mbovu anataka, handsome na mwenye hela.

[emoji1787][emoji1787] uzuri unanifatilia mpk unajua ninachopenda na kukitaka! Sasa tulia nimpate ninayemtaka nikupe mwaliko wa harusi! Sema nini niunganishie Joh basi mimi nawapenda wanaume wagumu, Joh atanifaa sana
 
Kila mtu aendelee na zoezi lake,We endelea na zoezi la dislike,wenzio waachie zoezi la PM😅😅😅
 
Nilikuwa nazama zama PM kipindi cha nyuma, ila nilikutana na memba m1 hvi kweny miadi ya kuonana.

Toka siku hiyo nimesitisha, Aisee muonekano 0

sitaki kukutana na kituko tena
 
Pisi kali huwa hazipendi kuwa ghost, Zenyewe hupenda kuonekana na watu so, huu mtandao huvutia zaidi pisi zenye sura personal Cos humu ndo zenyewe hujifeel comfortable.
 
Humu Kuna watu ma handsome hatar,na mara nyingi hawachangiag mada na ushaid ninao ila siwataj na niwatu nawafahamu kabisa,ukija kwa wadada sasa asili mia kubwa ambao hawajaweka avatar za wadada warembo au picha zao hao chunguza uhalisia ndio pis kali ujue kizur kinajiiuza kibaya kinajitembeza yaan kionekane.
 
Back
Top Bottom