Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Ila baadhi ya wakaka wa humu ndani mmezidi uongo mno, baadhi ya wadada nawafahamu humu ndani and they're so beautiful and smart, wengine wanaonekana jukwaa la Selfika kule, hayo yenu huwa sijui huwa mnatoka nayo tu wapi..!!
Ama ni mkilala mkiota mnaanza kusimanga watu ovyo humu ndani..!!

Enweiz, 'Beauty is in the eyes of the Beholder'..!!
Jiwe lilitupwa gizani lakini
 
Mtoa mada unasemaa
519F7C61-7558-4B45-AC85-0A84BF622B90.jpeg
 
Namna gani vipi unamfata mp public hukoment chochote[emoji23][emoji23] kama scout akiwa anatafta wachezajii
Ahh, lazima kwanza ukomet ili uone reaction zake ndo sasa unazama pm, usije ukajikuta ww ndo unatongozwa

Hii dunia imepinda
 
Inakuwaje huyu choko kila siku usiku mnene yupo macho? Huwa sielewi kabisa
Anafanya shughuli gani?
 
Ila baadhi ya wakaka wa humu ndani mmezidi uongo mno, baadhi ya wadada nawafahamu humu ndani and they're so beautiful and smart, wengine wanaonekana jukwaa la Selfika kule, hayo yenu huwa sijui huwa mnatoka nayo tu wapi..!!
Ama ni mkilala mkiota mnaanza kusimanga watu ovyo humu ndani..!!

Enweiz, 'Beauty is in the eyes of the Beholder'..!!
Haswaaaaaah!!!!
 
Back
Top Bottom