GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Ngoja tupigwe ,[emoji1787] shauri zenu
Kwenye kumi nikibahatisha mmoja, baridi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tupigwe ,[emoji1787] shauri zenu
Sio wote nafikiri mbonawengi wanasema wameolewa na wanaume wanaochat jf wapoje tupe character zaoKwani uwongo?
Waongo wengi hawaja olewa.Sio wote nafikiri mbonawengi wanasema wameolewa na wanaume wanaochat jf wapoje tupe character zao
[emoji1787][emoji1787] tupe uthibitisho
Ndio mimi halisi au nikupe account yangu ya TikTok ukajionee [emoji23]
nyie pisi kali mnazuga tu 😂Kuna mtu kaangukiwa na kitu nzito [emoji23]
[emoji1787] nyie shauri zenunyie pisi kali mnazuga tu [emoji23]
kwa sisi tunaopenda mashangazi humu bata sana 😂[emoji1787] nyie shauri zenu
Nitakupa pm hapa wanga wengi
Ila wakaka wa humu ndani mmezidi uongo mno, baadhi ya wadada nawafahamu humu ndani and they're so beautiful and smart, wengine wanaonekana jukwaa la Selfika kule, hayo yenu huwa sijui huwa mnatoka nayo tu wapi..!!
Ama ni mkilala mkiota mnaanza kusimanga watu ovyo humu ndani..!!
Enweiz, 'Beauty is in the eyes of the Beholder'..!!
Ila JF ni kama mtaani tu kuna kila aina ya watu tofauti yake humu tunajificha nyuma ya fake ids, fake pics lkn watu ni wale walekwa sisi tunaopenda mashangazi humu bata sana [emoji23]
haya maisha ya shul wajinga nyie mnachez sana humu mkitoboa chuo niiteni mbwa nimekaa pale😀mi nina module 5 tu sina stress 😂