Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Umeolewa ?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Au unamkuta mdada, kavaa sketi, under skirt, tight ambayo imepauka au imefubaa mpaka unashindwa kujua ilikua red, white au purple then ndani kuna chupi ya lailoni.

Ukianza mvua sasa, nguo ya kwanza okey, ya pili okey, ukifika tight unaanza sikia harufu ya kibambala, ukiikuta chupi unaakumbana na harufu ya dagaa, ukiikuta yenyewe unaweza kumbana na harufu ya panya Alie oza
 
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ inahitaji moyo maana chumba kizima ni mfyuuuuuuu....
 

nafikiri wanaovaa niwale wanaonunua Suruali oversize (kubwa kiunoni) sasa ili kuifanya imtoshe au ionekane vizuri na akifunga mkanda isijikunje, ana amua kuvalia kitu kingine ndani japo mimi siwezi kwa kweli....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…