Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeolewa ?Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Umejiandaa kwa mashambulizi lakini?
Subiri wenyewe wanakuja,
Mimi naweka kambi hapo kusoma comments za wana.
😂😂😂😂😂Unakuta dada mzuri lakini ana wigi ( ndani ya wigi Kuna twende kilioni zilizofumuka), unakuta kavaa sketi fupi halafu skintight ya ndani Tena rangi ya bluu inakaribia magoti😂😂😂😂
All in all, inafurahisha sana kuona utofauti wa watu katika jamii, ndiyo maisha yenyewe hayo.
Jamani mm siwezi lala bila kuvaa chochote loh!Sasa uvae dela usiku si utahisi mnasutana? 😹😹
Mimi napenda kulala km nilivyokuja duniani uwa naenjoy sana.!!
Huwa navaa hizi i got some pairs of CK na hata Versace.View attachment 3055357
Wawe wanavaa kama hizi material nzuri cotton nzuri
Au unamkuta mdada, kavaa sketi, under skirt, tight ambayo imepauka au imefubaa mpaka unashindwa kujua ilikua red, white au purple then ndani kuna chupi ya lailoni.Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
🙌🙌🙌🙌🙌😄😄😄 inahitaji moyo maana chumba kizima ni mfyuuuuuuu....Au unamkuta mdada, kavaa sketi, under skirt, tight ambayo imepauka au imefubaa mpaka unashindwa kujua ilikua red, white au purple then ndani kuna chupi ya lailoni.
Ukianza mvua sasa, nguo ya kwanza okey, ya pili okey, ukifika tight unaanza sikia harufu ya kibambala, ukiikuta chupi unaakumbana na harufu ya dagaa, ukiikuta yenyewe unaweza kumbana na harufu ya panya Alie oza
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊