The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Unakuwa huna kazi au genye ndo inakufanya uangalie wanaume wamevaa nini ndani ya surualiKaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani[emoji134][emoji134][emoji134].
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Umeeleza vizuri sanaβ€οΈKwa mwanaume ambae hafanyi hizi labour day works anapaswa avae nguo ngumu ngumu za kuhakikisha zinamstili vizuri. Ndio maana utakuta mtu kavaa boxer, kaptula na suruali ama kaptula yenyewe na suruali na shati.
Kwa watu wa ofisini nguo za kuvaa ni 3 tu, boxer, suruali na shati tu. Siku ukivaa suti nguo ni 4 tu, boxer, suruali, shati na koti.
Mashetani wekundu mnaanza kujitetea ehh.??Man u atutoe yanga ndio mambo yao unakuta na lile limpira nimeachia kidogo limepanda kiunoni kama belt πππ
Nimekuelewa ma.πππNimesema tu bina si kwa ubaya.
ππMashetani wekundu mnaanza kujitetea ehh.??
Wasukuma wanazipenda team zao kwa kumaanisha πΉπΉπΉ
Huyu huyu Mbwiga Ambakisye ninayemjua mimi!Bora zionekanane za timu nyingne ππ just imagine umeli exposed la yanga fc , unaonekana mbwiga Kinyama π
Usipande Basi utachelewa, Request Bolt nataka niwahi kuanza kupendeza πππππNapanda bus jioni
Yanga tumekukossa nini?π€Wifi yangu ππ
Uchokozi tuWhy Man U na Yanga??
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii πΉπΉ