Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Hiyo ndo tofauti ya mbomboo na papuchi. Mwanaume hata akivaa gunia kwa ndani bado haina shida ila avae mwanamke uone hilo fukuto litavyozua vyakuzua! Nadhani umejivutia picha wewe (mwanamke) bila kuzingatia utofauti wa kimaumbile kati yako na wanaume.
 
Vest mbona hujaiwrka hapo?
 
Kawaida, Bunduki inatakiwa kuhifadhiwa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…