Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπŸ™†πŸ™†πŸ™†.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Wanajihami siku hizi dungadunga wengi
 
Labda sehemu zenye baridi ila maeneo ya joto kuvaa maguo mengi sio mchongo.

Huwa nawashangaa wale wanavaa majuba wanajifunika gubigubi sijui huwa wanahisi vipi aisee, na unamkuta yupo kariakoo anasagulasagula na jua kali kishenzi.
 
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπŸ™†πŸ™†πŸ™†.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Umenikumbusha mbali sana FUKUTO miaka ya 2000 - Kina Dr Cheni ,Nora Ngwizukulu ,Dokii.
 
Labda sehemu zenye baridi ila maeneo ya joto kuvaa maguo mengi sio mchongo.

Huwa nawashangaa wale wanavaa majuba wanajifunika gubigubi sijui huwa wanahisi vipi aisee, na unamkuta yupo kariakoo anasagulasagula na jua kali kishenzi.
Wanafunika hadi macho, miguuni soksi akitoka huko akirudi nyumbani amevunda na jasho
 
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπŸ™†πŸ™†πŸ™†.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Kwangu mimi nikivaa boxer moja nikianza kuchati tu na demu wangu mashine inasimama nimeaibika sana mbele za watu
 
Back
Top Bottom