Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Hii nguvu ya kufatilia vitobo vya watu ungeitumia kwenye kupinga ufisadi binafsi yako ungekua maarufu sana kuliko hata Nyerere ila kwa sababu akili zako zinaonesha namna gani una upeo mfupi kama kuku unaamua kupiga mawe angani na unaamini yataumiza mawingu
Mkuu
Kwa mantiki hiya unausapoti?
 
Mama D umeona hili ndilo kosa kubwa kuliko yote Tanzania? Wazi wa fedha za umma wanaosababisha maafa Kwa jamii Kwa kukosa hudumu za muhimu ie life amenities hao kwako sawa.
Mtu si anaingiliwa Kwa hiari yake? Sioni tatizo unless ni kwa rape na hivyo nakubali pendekezo lako
Rape aina zote (labda baina ya wanandoa) tayari ina sheria zake.
 
Watajwe na wakamatwe na kufungwa kifungo cha maisha. Hii ndio itaondoa hii dhahama ya ushoga na ulawiti Tanzania

WATAJWE, WAKAMATWE NA WAFUNGWE JELA

ULAWITI, USAGAJI NA USHOGA HAUKUBALIKI TANZANIA
Na ambao hawajazaliwa bado je? Siungi mkono ushoga ila taaluma
 
Hii nguvu ya kufatilia vitobo vya watu ungeitumia kwenye kupinga ufisadi binafsi yako ungekua maarufu sana kuliko hata Nyerere ila kwa sababu akili zako zinaonesha namna gani una upeo mfupi kama kuku unaamua kupiga mawe angani na unaamini yataumiza mawingu
Duuh.
 
Mama D umeona hili ndilo kosa kubwa kuliko yote Tanzania? Wazi wa fedha za umma wanaosababisha maafa Kwa jamii Kwa kukosa hudumu za muhimu ie life amenities hao kwako sawa.
Mtu si anaingiliwa Kwa hiari yake? Sioni tatizo unless ni kwa rape na hivyo nakubali pendekezo lako
Mbna sasa mashoga walio kwa ridhaa yao wana kamatwa na kukirishwa kusudi na kuwafunga 30yrs jela? Huku mabasha wakiachwaaa???

Hiyo sheria ni ipiii?
 
Back
Top Bottom