Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tupe majina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njema sana mkuu!Za Siku
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unawazaz Asije kua anampakua Bwanako 🤣🤣Siku hizi Rafiki wa Kiume wa Mume/Mpenzi wako ni hatari zaidi kuliko Rafiki yake wa kike...
Umepoteaaa , husalimii wakubwa zako?.Njema sana mkuu!
MkuuHii nguvu ya kufatilia vitobo vya watu ungeitumia kwenye kupinga ufisadi binafsi yako ungekua maarufu sana kuliko hata Nyerere ila kwa sababu akili zako zinaonesha namna gani una upeo mfupi kama kuku unaamua kupiga mawe angani na unaamini yataumiza mawingu
ivi hii id imeshindikanika au jf wanamuunga mkono maana kuna uzi wake niliona akijisifu kulawitiwa toka utotonicocastic bado hawajampima tu?
Mie Mbona nipo itakua tunapishana labda!!Umepoteaaa , husalimii wakubwa zako?.
Sio kwamba na support ila hamna tunachoweza kufanya kama taifa kuzuia hii issue so hizi ni harakat tu na upepo utapita maisha yataendeleaMkuu
Kwa mantiki hiya unausapoti?
AiseeeNa wale wadada wanaotubadilishia wenyewe gia angani pasi na sisi kujua wafanywaje?
ooh nadhani wanaheshimu tu uhuru wa maoni basi comradeivi hii id imeshindikanika au jf wanamuunga mkono maana kuna uzi wake niliona akijisifu kulawitiwa toka utotoni
Weeee Wacha Maneno , Kaka tena,. Muhaya na Msukuma wapi na wapi?.Mie Mbona nipoo itakua tunapishana labda!!
Shikamoo kaka😊!
Rape aina zote (labda baina ya wanandoa) tayari ina sheria zake.Mama D umeona hili ndilo kosa kubwa kuliko yote Tanzania? Wazi wa fedha za umma wanaosababisha maafa Kwa jamii Kwa kukosa hudumu za muhimu ie life amenities hao kwako sawa.
Mtu si anaingiliwa Kwa hiari yake? Sioni tatizo unless ni kwa rape na hivyo nakubali pendekezo lako
Na ambao hawajazaliwa bado je? Siungi mkono ushoga ila taalumaWatajwe na wakamatwe na kufungwa kifungo cha maisha. Hii ndio itaondoa hii dhahama ya ushoga na ulawiti Tanzania
WATAJWE, WAKAMATWE NA WAFUNGWE JELA
ULAWITI, USAGAJI NA USHOGA HAUKUBALIKI TANZANIA
yoda inaelekea wewe unaishi kwa mpalange!!!Hii adhabu ilipaswa kuwa kwa mafisadi wa pesa za umma na wezi wa kura.
Wakati kuna mapolisi mashoga!!!!Watakamatwa na nani?
Duuh.Hii nguvu ya kufatilia vitobo vya watu ungeitumia kwenye kupinga ufisadi binafsi yako ungekua maarufu sana kuliko hata Nyerere ila kwa sababu akili zako zinaonesha namna gani una upeo mfupi kama kuku unaamua kupiga mawe angani na unaamini yataumiza mawingu
Mbna sasa mashoga walio kwa ridhaa yao wana kamatwa na kukirishwa kusudi na kuwafunga 30yrs jela? Huku mabasha wakiachwaaa???Mama D umeona hili ndilo kosa kubwa kuliko yote Tanzania? Wazi wa fedha za umma wanaosababisha maafa Kwa jamii Kwa kukosa hudumu za muhimu ie life amenities hao kwako sawa.
Mtu si anaingiliwa Kwa hiari yake? Sioni tatizo unless ni kwa rape na hivyo nakubali pendekezo lako