Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Watu wanaona sawa na kuchagiza kuingilia wanawake kinyume na maumbile hasa wale wenye chura, lakini hiyo siyo sawa, ni sexual immorality ambayo huenda ndo imechangia kwa kiasi kikubwa hao wanaowaingilia wanawake kinyume na maumbile kunogewa na kuona sawa kuwaingilia hadi wanaume wenzao, haya mambo huwa yanaanzia mbali.
Bora wee umesema ukweli.
 
ivi hii id imeshindikanika au jf wanamuunga mkono maana kuna uzi wake niliona akijisifu kulawitiwa toka utotoni
Uzi wangu niliokua ninasema hivyo hebu uletee hapa niuonee, hii JF sio yako, km unaona hapakufai toka wee, waache wanao ifaa.
 
Hii nguvu ya kufatilia vitobo vya watu ungeitumia kwenye kupinga ufisadi binafsi yako ungekua maarufu sana kuliko hata Nyerere ila kwa sababu akili zako zinaonesha namna gani una upeo mfupi kama kuku unaamua kupiga mawe angani na unaamini yataumiza mawingu
Lazima tuwawinde tu hata mjifiche wapi
 
Mama D umeona hili ndilo kosa kubwa kuliko yote Tanzania? Wazi wa fedha za umma wanaosababisha maafa Kwa jamii Kwa kukosa hudumu za muhimu ie life amenities hao kwako sawa.
Mtu si anaingiliwa Kwa hiari yake? Sioni tatizo unless ni kwa rape na hivyo nakubali pendekezo lako
Mashoga lazima mkamatwe popote mlipo
 
Back
Top Bottom