mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ni ngumu kupata ushahidi, hata mkiwakamata....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaah ndo inatakiwa mkamatwe mtupwe jelaa, ni jinai.Utamu wa huko back hauelezeki Oky?
Nasema hata baba yako anasakwa, huna uhakika kama yeye si shogaYaan nyie machoko mnakera sana aisee,..na kwa taarifa yenu serikali inawasaka kimya kimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann dada??Siku hizi Rafiki wa Kiume wa Mume/Mpenzi wako ni hatari zaidi kuliko Rafiki yake wa kike...
Bora wee umesema ukweli.Watu wanaona sawa na kuchagiza kuingilia wanawake kinyume na maumbile hasa wale wenye chura, lakini hiyo siyo sawa, ni sexual immorality ambayo huenda ndo imechangia kwa kiasi kikubwa hao wanaowaingilia wanawake kinyume na maumbile kunogewa na kuona sawa kuwaingilia hadi wanaume wenzao, haya mambo huwa yanaanzia mbali.
Baba yako naye ni choko, you never knowNaona machoko mnateteana
Uzi wangu niliokua ninasema hivyo hebu uletee hapa niuonee, hii JF sio yako, km unaona hapakufai toka wee, waache wanao ifaa.ivi hii id imeshindikanika au jf wanamuunga mkono maana kuna uzi wake niliona akijisifu kulawitiwa toka utotoni
sina muda wa kuitafuta iyo quote ,huo uzi ulikua ukieleza jinsi ulivyo lawitiwa toka utotoniUzi wangu niliokua ninasema hivyo hebu uletee hapa niuonee, hii JF sio yako, km unaona hapakufai toka wee, waache wanao ifaa.
Ulishakaririshwa hadi namna ya kufikiri eti kuwa objective, takataka kabisa.Nawe una laana ya kutofikiri, kuwa objective
Tuanze kwanza na MashogaHii adhabu ilipaswa kuwa kwa mafisadi wa pesa za umma na wezi wa kura.
Lazima tuwawinde tu hata mjifiche wapiHii nguvu ya kufatilia vitobo vya watu ungeitumia kwenye kupinga ufisadi binafsi yako ungekua maarufu sana kuliko hata Nyerere ila kwa sababu akili zako zinaonesha namna gani una upeo mfupi kama kuku unaamua kupiga mawe angani na unaamini yataumiza mawingu
Basi ndo ukae kwa password, kuwa buzzy na yanayokuhusu. Km hayo unayo yafuatilia huyawezi.sina muda wa kuitafuta iyo quote
Hilo nalo ni li shoga tutalikamata tuKwahyo mkuu umeona haitoshi mpaka umeamua kujiita topu au sio?...kwa maana una mabottom wako sio,acha huo ufirauni mkuu!
Tutakudaka tuAcha ukatili wee shangazi
Mashoga lazima mkamatwe popote mlipoMama D umeona hili ndilo kosa kubwa kuliko yote Tanzania? Wazi wa fedha za umma wanaosababisha maafa Kwa jamii Kwa kukosa hudumu za muhimu ie life amenities hao kwako sawa.
Mtu si anaingiliwa Kwa hiari yake? Sioni tatizo unless ni kwa rape na hivyo nakubali pendekezo lako
ilete tamko la maandishi toka wizarani ya 2023, jibu ni hakunaThis is 2023 dronedrake
Mashoga lazima mdakwe tu, mkifika hiko ndo mtajua serikali haitaki mchezoTuanze na mumeo.