Wanaume mnaowashika wanawake makalio na matiti Kariakoo kiama chenu kinakuja; Chalamila anawachemshia dawa

Wanaume mnaowashika wanawake makalio na matiti Kariakoo kiama chenu kinakuja; Chalamila anawachemshia dawa

Miaka ya nyuma niliwahi kushuhudia dungadunga akiwa kazini. Wakati tukisafiri kwenye basi la Mbagala, mama mmoja alisikika akilalamika kuingizwa kitu laini cha moto na mwanaume mmoja. Wakati akishutukia mchezo ule, yule mwanaume akawa ndio anafunga mkanda na kuingiza dunga yake kwenye boxer ili kupoteza ushahidi. Bahati yake alikuwa mwanafunzi wa sekondari na alionekana akiwa amevaa uniform na akiwa na begi la shule.

Baada ya kugundua ni mwanafunzi, wanaume waliokuwa pembeni wakavunga na kumsitiri mwanaume mwenzao, huku wakimsihi mama aliyeingiziwa moto kutuliza mzuka. Wanaume kwa kulindana kwenye uovu hawajambo. Lakini na wanawake nao hulindana pia.
Huyu mama alikuwa Uchi?
mpaka kufikia hatua ya kusikia Kitu cha moto kikimuingilia?
 
Lakini muda mwingine wanawake nao hupenda kufanyiwa hivyo. Nilikuwa naelekea Mbagala, mwanamke mmoja mwenye msambwanda mkubwa, mlaini wenye mstari katikati alijaa mbele yangu, kila nikijitahidi kukwepesha, na yeye analileta upande wangu. Nikaona wacha nidunge tu
Ndo ukamuingiza kitu laini cha moto?
 
Back
Top Bottom