Wanaume mnaowashika wanawake makalio na matiti Kariakoo kiama chenu kinakuja; Chalamila anawachemshia dawa

Kwa nchi ambayo kumdhalilisha mwanamke inaonekana ni ushujaa kucontroll hili ni ngumu sana, haya mambo yanaanzia kwenye malezi. Wengine wamelelewa vibaya wengine wamejilea wenyewe.

Inakera sana basi tu ndio nchi yetu tunavumilia.
 
Huyu mama alikuwa Uchi?
mpaka kufikia hatua ya kusikia Kitu cha moto kikimuingilia?
 
Ndo ukamuingiza kitu laini cha moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…