Umenena kweli kabisa mkuu. Kushika mikono wanawake na wasichana pia ni kitendo cha kidhalilishaji.Bora na asiwasahau wale wanaovuta watu mikono mtu kama hataki kununua muache mnazingua,,,, na wale wanaosumbua watalii yani wabongo wakiona Mzungu tu wanajua ana hela basi atamganda wee na kingereza chake kibovu unamtajia mbuga sijui nini wenzenu kabla ya kuja huku wanasoma Raman sehemu zote na kuna article kwenye mtandao wenzao waliokuja huku wameeleza sehemu za kutembelea,,,pia wazungu wengi wanajua kiswahili sasa na sio wote wanapesa,wengine ni wanafunzi wanakuja kutembea tu,,,hii nimeona sehemu aibu niliona mimi yan tunaonekana watanzania wote tuna mambo ya ajabu.
Mkuu wa Mkoa yupo sahihi kuwalinda wapigakura wasidhalilishwe hadharani. Mimi sioni kama ni tatizo. Wanaume wengine wana matatizo ya nguvu za kiume, hivyo wakiwashika wanawake matiti na makalio wanadhani tatizo lao litapona.Huyu mbwa!anatupigia makelele tu, kwenye ugumu wa, maisha haya, ye ye anaona wanawake kushikwa makalio ni shida?
Kabisa mwamba wwe unawaza kama mieIla huyu jamaa wanambania bure; anafaa kuwa katibu mwenezi wa CCM.
Wanatest mitambo
Kwani makala kapelekwa wapi jmn😎Ila huyu jamaa wanambania bure; anafaa kuwa katibu mwenezi wa CCM.
Je wewe pia unapenda💘Wengine wanayapenda hayo mambo.
🤣🤣🤣🤣Wananichanganyia makala na chalamila hapaMakala ndiye kachukua nafasi ambayo alipaswa kupewa Chalamila. Huu ni uonevu wa hali ya juu.
Location tafadhari tukapakue meat🤣🤣Mazingira mtaa katikati ya blue corner na congo tower pale wanaume wanajipakulia sana minyama [emoji23]
HahahaKuingiziwa Kitu Laini Cha Moto,je huyo Mama Alipanda Daladala Uchi Mpaka Kitu Laini Cha Moto Kikaingizwa?
hatari yaani kila kitu ni fursa tuKuna hii tabia ya wanaume kuwashika wanawake makalio na matiti kwenye sehemu za misongamano, hasa Kariakoo, ambako muda wote kuna msongamano wa watu. Mh Chalamila, RC wa Dar es Salaam anawachemshia dawa ambayo hamtakuja kumsahau. Yaani mtajuta kumfahamu.
Mara nyingi wanaume hawa huvizia kwenye msongamano wa watu, ndipo huwatomasa wanawake makalio na matiti ili kukidhi tamaa zao za kishenzi. Hivi mwanaume ukimshika mwanamke makalio, matiti na mapaja bila kufanya naye mapenzi huwa unapata raha gani? Hii tabia imekithiri sana, hasa kwenye maeneo ya vijiwe vya bodaboda na kwenye maeneo ambako wamachinga wanakusanyika.
View attachment 2875278
Wanaume wengine wanachukulia mkusanyiko kama fursa. Mwanamke anapokuwa akihangaika huku na kule akitafuta mahitaji yake, hutumia fursa hiyo kutimiza ushenzi wao. Mwanaume hujifanya kama ameteleza na kuelekeza mkono kwenye titi au kalio kisha kuliminya kwa nguvu.
Pia kwenye msiongamano ya magari ya abiria, tatizo hili lipo sana. Mabasi, hasa ya Gongolamboto na Mbagala, ambayo hujaza watu kupitiliza, ni fursa nzuri kwa wanaume wenye uraibu wa kushika matiti na makalio. Na si waraibu tu bali hata dungadunga nao hutumia msongamano wa kwenye mabasi kutimiza azma zao za kishetani.
Miaka ya nyuma niliwahi kushuhudia dungadunga akiwa kazini. Wakati tukisafiri kwenye basi la Mbagala, mama mmoja alisikika akilalamika kuingizwa kitu laini cha moto na mwanaume mmoja. Wakati akishutukia mchezo ule, yule mwanaume akawa ndio anafunga mkanda na kuingiza dunga yake kwenye boxer ili kupoteza ushahidi. Bahati yake alikuwa mwanafunzi wa sekondari na alionekana akiwa amevaa uniform na akiwa na begi la shule.
Baada ya kugundua ni mwanafunzi, wanaume waliokuwa pembeni wakavunga na kumsitiri mwanaume mwenzao, huku wakimsihi mama aliyeingiziwa moto kutuliza mzuka. Wanaume kwa kulindana kwenye uovu hawajambo. Lakini na wanawake nao hulindana pia.
USHAURI
Nawashauri na kuwasihi wanaume wenye uraibu wa kudunga na kuwahika wanawake makalio na matiti muache tabia hii mara moja kwa kuwa hili jambo linaweza kuwaingiza kwenye mgogoro wa kisheria kwa kuingilia privacy ya wanawake na kuwadhalilisha hadharani. Kama mtu una ugwadu wako, tafuta mwanamke mtaani kwa maelewano mmalizanae vizuri. Tabia ya kuviziawanawake kwenye msongamano ikome.
Mh Chalamila hataki masihala kwenye eneo lake la kazi. Kumbuka tarehe 23-24 itakuwa siku ya usafi itakayosimamiwa na wanajeshi. Isije ikatokea Chalamila akaamua kubadili matumizi ya wanajeshi hao na kuanza kuwasaka dungadunga tukaja kulaumiana bure. Kila abiria achunge mzigo wake.
Pia soma:
Umewahi kupitia haya kwenye mkusanyiko?
“Shida kubwa ni watu hawajui sheria japokuwa si kizuizi cha sheria kufuata mkondo wake, ila inawezekana,” amesema Wakili Dk Khamis Masoud.www.mwananchi.co.tz
Kwa msongamano huo ulivyo wanaume wote wa Kariakoo tutaozea jelaKuna hii tabia ya wanaume kuwashika wanawake makalio na matiti kwenye sehemu za misongamano, hasa Kariakoo, ambako muda wote kuna msongamano wa watu. Mh Chalamila, RC wa Dar es Salaam anawachemshia dawa ambayo hamtakuja kumsahau. Yaani mtajuta kumfahamu.