Wanaume mnaowashika wanawake makalio na matiti Kariakoo kiama chenu kinakuja; Chalamila anawachemshia dawa

Umenena kweli kabisa mkuu. Kushika mikono wanawake na wasichana pia ni kitendo cha kidhalilishaji.
 
Huyu mbwa!anatupigia makelele tu, kwenye ugumu wa, maisha haya, ye ye anaona wanawake kushikwa makalio ni shida?
Mkuu wa Mkoa yupo sahihi kuwalinda wapigakura wasidhalilishwe hadharani. Mimi sioni kama ni tatizo. Wanaume wengine wana matatizo ya nguvu za kiume, hivyo wakiwashika wanawake matiti na makalio wanadhani tatizo lao litapona.
 
Mazingira mtaa katikati ya blue corner na congo tower pale wanaume wanajipakulia sana minyama [emoji23]
 
hatari yaani kila kitu ni fursa tu
 
Kwa msongamano huo ulivyo wanaume wote wa Kariakoo tutaozea jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…