Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well lisemwalo lipo, kama halipo liko njiani na litatokea.
Aliimba pia mmoja wa wasanii wa mziki.
Mahusiano yawe ya ndoa ama uchumba ama urafiki ile ubestie yanataka uaminifu walau kwa asilimia 80 kama 100 zote hazipatikani. Na kwenye uaminifu huo yataka kila mmoja amuamini mwenzake hasa wanapokuwa mbalimbali.
Ukiona wanaotakiwa kuheshimiwa na watu wote (Ndoa naniheshimiwe na watu wote) wenyewe hawaiheshimu hiyo ndoa, wake kwa waume.
Basi ujue joto ni kali wanapunguza mgandamizo wa matukio waliyonayo ndani ya ndoa.
Aliimba mmoja wa wanamuziki.....
Mgeni ameingia hadi chumbanjnkwa baba na mama, mgeni huyu balaa...!!
Bora ww uliamua liwalo na liweRule #2.
Siwezi kuanza fuatilia na kuchunga mtu mzima na minyonyo yake, mitako yake & papuchi yake acha achakatwe akili ikimkaa sawa ataacha mwenyewe
Bora ww ulioamua linalool na liweRule #2.
Siwezi kuanza fuatilia na kuchunga mtu mzima na minyonyo yake, mitako yake & papuchi yake acha achakatwe akili ikimkaa sawa ataacha mwenyewe
Ujue hata mimi nashangaaga sana unakuta mtu anamkamia mke kama kichiziKwani akit*mbwa miye napungikiwa nini,papuchi zote hizi zinazozagaa zagaa mtaani kweli!
Tena hizi ndoa za Kikiristo ziliizojaa unafiki,acha tu wagongweshwe
🤣🤣🤣 KabisaBiashara ya kuchunga mke ilishakufa kama biashara ya kuchunga watoto wa kike...
Kila mtu ajichunge mwenyewe..
Akitaka kujiachia kazi kwake ...
Ukweli huwa unajulikana Tu mwishoni.
Au Kinamtumbo huko ndanindani [emoji23][emoji23]Utakuta upo Busisi ila unaongelea ya Dodoma.
Mkuu amini nakwambia game la ndoa haliitaji kuwa serious zaidi utapandisha sukari plus pressure upate stroke au ufe mapema, utuachie vitoto vya 2000's tukivitafuna mjini.Bora ww uliamua liwalo na liwe
Na mbichwa wake na mtumbo wake na limgongo lake na mpua wake unaanzaje kumchunga sasa 😄Rule #2.
Siwezi kuanza fuatilia na kuchunga mtu mzima na minyonyo yake, mitako yake & papuchi yake acha achakatwe akili ikimkaa sawa ataacha mwenyewe
Huwezi kumridhisha Mwanadamu, Mana ameumbwa kupenda DiversitiesNi sawa, vijana wengi wapumbavu, ila kijana anayejielewa na kutafuta mke anayejielewa na akawajibika kumhudumia kwa uwezo sponsor haitajiki.
Oyaa hapo kwenye mtumbo hapo 😂🤣Na mbichwa wake na mtumbo wake na limgongo lake na mpua wake unaanzaje kumchunga sasa 😄
Aisee watu wanangonoka balaa.Leo condom zimekutwa zimetapakaa sana Dom
Dom inanuka ngono
😂 😆 Usikute wenye magari wana wasiwasi na ujazo wa mafuta kwenye matenkiMagari parking yanatingishika balaaa hahaha.
Picha kidogoAisee Mambo yanayoendelea Dodoma after marathon ni balaa.
Ni kama watu wenye ndoa wametoka kifungoni they want to experience everything.
Watu wenye Pete ndio wanaongoza kuingia double kwenye rooms za hoteli.
Magari parking yanatingishika balaaa hahaha.
Ni balaaa.
Kwahiyo aachwe akalambwe na wanaume wengine?Mwanamke sio mfugo unaofuga kama midevu yako iliyojaa uso mzima kama ya Osama bin Laden
Na ukweli ukijulikana baadaye nini ufuata?.Biashara ya kuchunga mke ilishakufa kama biashara ya kuchunga watoto wa kike...
Kila mtu ajichunge mwenyewe..
Akitaka kujiachia kazi kwake ...
Ukweli huwa unajulikana Tu mwishoni.
Ni kupigwa chini Tu hakuna namnaNa ukweli ukijulikana baadaye nini ufuata?.
Hatari sana mkuuAisee watu wanangonoka balaa.
Niko tayari kufia gerezani kuliko kukubali fedheha hiiVijana wengi wanaoa wanawake ambao hawawezi kuwakataza kufanya yale wasiyoyataka na hata wakijaribu kukataza mwanamke anaenda kwa sababu sponsors wapo akirudi anaingia ndani ya nyumba mume akitingisha kiberiti kesho mwanamke anaamkia kwao kesho kutwa mahakamani wagawane mali.