uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Huwezi kumridhisha Mwanadamu, Mana ameumbwa kupenda Diversities
Unachopaswa kujua ni kwamba, hata kama hariziki, ila mke wangu will never do that, ninavyoweza ku control na control
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumridhisha Mwanadamu, Mana ameumbwa kupenda Diversities
Sasa binti yako utamuacha tu atangetange mkuu? Walau uonyeshe sense ya kuwa unajali kwa kuongea na kukaripia. Otherwise watoto wanalalwa balaa, huku mitandaoni ni mauzo vs manunuzi na wazazi hawayajui haya.Biashara ya kuchunga mke ilishakufa kama biashara ya kuchunga watoto wa kike...
Kila mtu ajichunge mwenyewe..
Akitaka kujiachia kazi kwake ...
Ukweli huwa unajulikana Tu mwishoni.
Mzee una perspective moja very very positiveKwani akit*mbwa miye napungikiwa nini,papuchi zote hizi zinazozagaa zagaa mtaani kweli!
Tena hizi ndoa za Kikiristo ziliizojaa unafiki,acha tu wagongweshwe
Tafuta pesa kama Mond,harafu vuta vitoto kama zuchu, piga,sepa.Nafasi tu ya kukaa mwenyewe na kureflect mambo yako
Watoto wa kike siku hz, hawachungiki, hata akiwa mama wa nyunbani,anaweza pigwa na mpangaji, bodaboda, ndugu yako,Kwa hio unamuacha aende akachezee mtimpya uko kwenye marathon
Yeah siku hizi wanauchezea tu mtinyamaWatoto wa kike siku hz, hawachungiki, hata akiwa mama wa nyunbani,anaweza pigwa na mpangaji, bodaboda, ndugu yako,
Kuepuka kuchokana inabidi baada ya muda fulani kila mmoja aende retreat hata ya wiki kutafakari mambo kivyakeTafuta pesa kama Mond,harafu vuta vitoto kama zuchu, piga,sepa.
Hiyo ndio dawa,
Pamoja sana mkuu,kikubwa ni uhaiMzee una perspective moja very very positive
Hutakaa upate pressure maishani
Maisha ya care free!
Ni nadra sana kwa sisi wanaume....especially me,I cant let that happen,najioneaga huruma tu siku ikinitokea obviously lazima nife na wao wafe,ndio maana tunawahi kufaga na mapressure!
Wanaume wanaotegemea uchumi wa wake zao utawajua tu!Mwanamke sio mfugo unaofuga kama midevu yako iliyojaa uso mzima kama ya Osama bin Laden
wewe kama nilikuona Dodoma Royal VillageMarasoni hizi mambo ni mengi sana
Wakimbiaji ni wachache
Kibasi ndio nini
Ni kosa la kisheria kwenda royal village?????wewe kama nilikuona Dodoma Royal Village
ona kipindi Cha bunge Dodoma inanuka ngono ~roma mkatolikiLeo condom zimekutwa zimetapakaa sana Dom
Dom inanuka ngono
Hahahaaa!.Ni kupigwa chini Tu hakuna namna
Duuuh mkuu unajua Kalambo?Hata bila Marathon ukisikia mwanamke wako ana safari ya Dodoma sali sana. Siku hizi wadada wa mjini wamekuwa na safari nyingi za Dodoma kwenda kufanya umalaya. Mwanamke yeyote mwenye safari za Dodoma muepuke. Kama anapenda safari mkatie tiketi ya Majinja akatalii wilayani Kalambo na sio Dodoma.