Wanaume mnatoa wapi ujasiri wa kushare Mwanamke?

Wanaume mnatoa wapi ujasiri wa kushare Mwanamke?

Hiki kitu nataka niwaulize wanaume wenzangu, inakaaje unafahamu mwanamke flani anatoka na flani na wewe anampangia foleni unapiga hivi huwa hamna kinyaa? hivi hamkumbuki stori za ngoma, mwanao anapiga kesho umekaa naye sehemu moja mara unamuona ana punye, au anakohoa haikuletei mshituko na hofu?

Binafsi sipigi mwanamke wa mtaa mmoja, au ninayefahamu skendo zake mwanamke ninayemfahamu huwa simpendi kabisa, unanza kuwa subject na stori zake, mambo yake yanakufika kiufupi hilo sawa na demu wa ofisini, yaani tuwe ofisi moja halafu nimchakate.

Zamani mwanamke alitumika na nyoka kumsababisha mwanaume afanye dhambi lakini mwanaume wa leo ni nyoka mwenyewe, shetani na ibilisi.
Mwanaume amekua sio tuu wa kushare mwanamke, amekua mtu wa ktumika na kutumia kinyume cha maumbile, amekua mtu wa kulala na kulalwa na wanawake na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati, amekua mlawiti wa watoto, amekua mlalaji wanyama

Mwanaume aliyepewa nafasi ya kuwa kiongozi wa familia akitakiwa kumuwakilisha Mungu katika kuongoza anazidi kupoteza nafasi yake duniani

Wanaume wachache mnaoitendea kazi nafasi yenu Mungu awatunze sana. Tunatambua umuhimu wenu kwetu
 
Huu ujinga umekuwa common siku hizi, malaya wanajipigia pande eti tupo na mwenzangu utuchukuwe wote[emoji23]. Dah unaenda kupoteza hela bure kwanza huwez kuwashughulikia wote, utapiga kimoja chali.
Watu bado wanataka we unakoroma🤣
 
Kama unamtaka wakwako peke yako tafuta mgomba
 
Ma
Zamani mwanamke alitumika na nyoka kumsababisha mwanaume afanye dhambi lakini mwanaume wa leo ni nyoka mwenyewe, shetani na ibilisi.
Mwanaume amekua sio tuu wa kushare mwanamke, amekua mtu wa ktumika na kutumia kinyume cha maumbile, amekua mtu wa kulala na kulalwa na wanawake na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati, amekua mlawiti wa watoto, amekua mlalaji wanyama

Mwanaume aliyepewa nafasi ya kuwa kiongozi wa familia akitakiwa kumuwakilisha Mungu katika kuongoza anazidi kupoteza nafasi yake duniani
Mama D siku nyingine unaongea kwa busara ila leo umekengeuka. Unaweza kuhariri ujumbe wako uweke neno baadhi ya wanaume wachache?
 
Sasa huyo unayedhani ni wako peke yako ndio analiwa na rafiki yako.

Mimi nikijua huyu demu ni wa fulani au fulani kapita, basi mimi nikimpitia namkunja vizuri na vionjo vya hatari hadi baadae anaanza kunitajia mapungufu ya huyo fulani
 
Zamani mwanamke alitumika na nyoka kumsababisha mwanaume afanye dhambi lakini mwanaume wa leo ni nyoka mwenyewe, shetani na ibilisi.
Mwanaume amekua sio tuu wa kushare mwanamke, amekua mtu wa ktumika na kutumia kinyume cha maumbile, amekua mtu wa kulala na kulalwa na wanawake na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati, amekua mlawiti wa watoto, amekua mlalaji wanyama

Mwanaume aliyepewa nafasi ya kuwa kiongozi wa familia akitakiwa kumuwakilisha Mungu katika kuongoza anazidi kupoteza nafasi yake duniani

Wanaume wachache mnaoitendea kazi nafasi yenu Mungu awatunze sana. Tunatambua umuhimu wenu kwetu
Tupo mama D. Asante sana kwakweli.
 
Zamani mwanamke alitumika na nyoka kumsababisha mwanaume afanye dhambi lakini mwanaume wa leo ni nyoka mwenyewe, shetani na ibilisi.
Mwanaume amekua sio tuu wa kushare mwanamke, amekua mtu wa ktumika na kutumia kinyume cha maumbile, amekua mtu wa kulala na kulalwa na wanawake na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati, amekua mlawiti wa watoto, amekua mlalaji wanyama

Mwanaume aliyepewa nafasi ya kuwa kiongozi wa familia akitakiwa kumuwakilisha Mungu katika kuongoza anazidi kupoteza nafasi yake duniani

Wanaume wachache mnaoitendea kazi nafasi yenu Mungu awatunze sana. Tunatambua umuhimu wenu kwetu
Adam na Hawa ni majendi, walianzisha dhambi na sisi hatuwezi kuishia walipoishia, tunaendeleza legacy.
 
Kuna ule uzi wa ni maeneo ani hatari uliyowahi kupigia mbunye, na ule wa ni makosa gani uliyowahi kufanya na kujutia.

Ukisoma ndo utajua wanaume wana akili kiasi gani.
 
Back
Top Bottom