Oooh kumbe.Wanawake wanachangamoto nyingi sana especially kwenye s3x ,Mwanamme yupo ready 24hrs ila mwanamke wanamambo mengi mara redcarpet ,mara kachoka alikuwa anakazi nyumbani ,mara kichwa kinauma,nampikia mtoto,mara napika,mara mara mara mara kibao ,ndiyo maana m/me anaamua kwenda kupunguza nje,
Hapa naona umeifunga mada.Wewe unaweza kula wali magarage kila siku
unatakiwa ule samaki kuku nguruwe mbuzi unabadilisha ladha
ndivyo mapenzi yalivyo
Watatulia kaburini 😂
Tofauti na hapo usijivunje kiuno madam. Hawatuliagi, na hawajui kutulia.
Ohoooo, kagoma kuja na id yake ya siku zote 😂😂😂😂
Mwenzio huyu hapa.Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
😬😬😬😬,Ohoooo, kagoma kuja na id yake ya siku zote 😂😂😂😂
Mambo ya kuanza kutongoza upya kila ukitaka mbunye nani anataka😂!U
Umeonae!
Yaani nje unapata kwa wepesi ila ndani hata kwa magoti hupewi!
Duh balaa zito hilo, Mungu atusaidie tuMchepuko wenyewe sasa, alafu unataka tutulie vipi?
View attachment 2958917
Kama mzee shusho kachwa na mkewe kwa visingizio vya kiboya eti wito wa kimungu wewe sijui unasema nini hapa😂Olewa na mtu mwenye hofu ya Mungu.
UbinafsiAcha kujichosha mkuu fanya mambo yako acha kabisa kuamini mtu. Iwe mwanaume au mwanamke wote wanajali furaha zao zaidi kuliko za wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wenye sura personal tumekumbukwa leo 😂! All in All mchepuko anasaidia kubalance ndoa hasa nyakati ngumu ngumu kama za kulea ujauzito!Tatizo mnataka wanaume wale wazuri wazuri wenye mpunga midungu jeshi.
Mimi natafutaga watu wana sura personal Athuman muuza majeneza hana mbuni
Nna mwaka wa 4 sijaumwa UTI wala nn
1+1 haiwezi kua siku zote mbili Kuna muda inakua 11Kama mzee shusho kachwa na mkewe kwa visingizio vya kiboya eti wito wa kimungu wewe sijui unasema nini hapa😂
Alafu ukute hujui kuwa duniani wanaume tupo wengi kuliko wanawakeWe cacutee...ina maana we hujui kama wanawake mko wengi zaid ya wanaume?
sasa mkipewa nyie wachache hao wanawake wengine watapewa na nan?
Na ndio maana unaona wanaume hatutulii na mmoja lengo letu tuwafikia had wale ambao huduma haijawafikia
Uongoo
Eti ??Alafu ukute hujui kuwa duniani wanaume tupo wengi kuliko wanawake
Idadi yetu wanaume nikubwa kuliko wanawake duniani. Nimerudia Kama hujaelewaEti ??